Hehehe! Mwaminifu the boss peke ake manake ana 20..
Hahahaha!! Mkuu nasikia uliifanyia shopping yote pale Marcy's Store....halafu Boss anadaiwa 20,000 sijui ilikuwa ya Vocha hiyo...lol..
Yaani wewe umesamehewa lazima tu utakuwa ulimuendea kwa Babu hadi kakusamehe...lol..aunt mi ninao wengi, sijui nitakuja na nani nimuache nani.
Yaani hiyo hamsini tu ndo unanipigia kelele wakati mimi ndo nimeonyesha uaminifu kwa kuwa na deni dogo?
Sasa kwa hasira jumlisha zote hizo unipe total ngoja nimpigie bepari wangu wa kihaya akulipe in cash.
Hahahahaha!! Umeua arifu..:lol:Macy's wapi arifu...nilienda Nieman Marcus nikafanya kufuru mbaya sana! Now I'm broke as a joke.
Teh teh teh...Boss aliishiwa salio katikati ya mazungumzo na shori ikabidi amtafute Da'Asha....
Macy's wapi arifu...nilienda Nieman Marcus nikafanya kufuru mbaya sana! Now I'm broke as a joke.
Teh teh teh...Boss aliishiwa salio katikati ya mazungumzo na shori ikabidi amtafute Da'Asha....
Ayaaaa....hivi yule mangi pale dukani hakukupa hela yaani nilimuachia labda kama katumia kuongezea mtaji kwenye duka lake..lol...ila Nyani Ngabu itabidi aweke gari bond aiseee...
ww kama wadaiwa nitakulipia.
Muongo wifi wewe.... Atakua tu anamla Nitonye pesa.... nasikia kapata za Mirathi... Ngoja hiyo pesa iishe! lol
Jamani alisamehewa na Sweetie.... What was I to do? lol
Haaaaa kumbe...lolJamani kumbe MAMMAMIA ni mwanaume khaaa!
Haya nimenyamaza!uache kelele nitaghairi kukulipia hivyo eh
Kabana tatizo hili deni ni dogo lakini umenizungusha miezi 6 kama Boss alivonizungusha karibu mwaka kulipa hio 20!
bora ningejihongesha. Hebu lipa deni la boss anatia aibu. Lol.
Haaaaa kumbe...lol
Kumbe??? Mie huwa najua ni she!..lol. Samahani mammamia!Jamani kumbe MAMMAMIA ni mwanaume khaaa!
Haya nimenyamaza!
Hahahahaaaaaa! Uwiiiiii nafwaaaaaaa!...lol.
Wifi ujue hujaniaibisha mimi ila umemwaibisha kakako na utajuta kuzaliwa nae tumbo moja...daaah we ni noma.