Hivi hujui kuwa vita vikitokea watakaoathirika ni Mbowe na Ndesambulo? Waulize jama wako tayari. Na tupe orodha ya walioifisadi nchi na uombe wanajf wakuongeze kwenye orodha yako wanaofikiriwa kuwa ndo mafisadi. Utashangaa kwenye yako akitokea mwanajf akataja WAKRISTO ndo wameifisadi nchi hii kwa kuwa wameshikilia nafasi zote za maamuzi. Be careful ndg yangu unachotamani, kikianza huwa hakina dereva.tutanyonywa mpaka lini?watu wanaishi maisha magumu hata mlo mmoja ishu halafu we unaongelea kuogopa vita?au wewe ni kati ya wale wachache walio ktk upande unaobenefit?hapa vyovyote vile na iwe lakini lazima ifike wakati twende sawa.tumechoka kua chini kila siku.tukimbizane heshima irudi ili tusichezewe movie za kijinga kama ilivyo sasa hivi