kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Kupitia matangazo ya moja kwa moja toka BBC inaonesha sehemu nyingi kuna ugumu wa kutoa au kutangaza matokeo rasmi achilia mbali yale ya awali. Hivyo watu wamekusanyika wakifikiri kuna njama, chonde chonde NEC himizeni wasimamizi kama sababu zinazochelewesha si za msingi sana watoe matokeo mapema ili kuepusha shari, Mwanza huko noma, Bwawani ZNZ noma, Arusha noma. Mungu ibariki Tanzania.