Zyamwelele
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 405
- 153
Habari zenu wabunge wa hili jukwaa!!
Kwamda mfupi niliokwepo chuo niliona yafuatayo;
1) Maisha ya wanachuo wengi niyakuigiza (hayana uhalisia)
2) Matarajio ya wanavyuo wengi ni makubwa kama sera ya elim ya sasa yaan (big results now). kitu ambocho ni tofauti na hali halisi ya huku mtaani.
Taanza nahayo mawili kwaleo!
Mawazo hayo yapo hasa kwawanafunzi ambao ni freshers (fresh from school)
kiukweli ukikaa kuwasikiliza mawazo yao kama umeshapitia maisha ya mtaani utawaonea huruma' kwasababu wanayoyafikilia ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyo!!
Wengi wao wanafikiria baada ya shule ajira' na baada ya miezi kazaa usafiri.
Chondechonde nduguzanguni huku mtaani kugum hatari' huku kuna sera mpya isemayo 'HAIJARISHI UMESOMEA NINI AU UNAJUA NINI ILA UNAMJUA NANI?'' (IT DOES NOT MATTER WHAT YOU KNOW BUT WHOM YOU KNOW).
Ushauri!! Kama unataka kuajiriwa andaa mazingira kwa kujuana na watu' hasa wale wazee ambao unasoma nao lakini tayari wapo kwenye ajira' wape madesa uwasaidie watakukumbuka mkimaliza, ukijifanya nunda imekula kwako!!
Kingine maisha mazuri sio kukaa ofisin' waliojiajiri wanakula bata na wanamaisha mazuri balaa.
Vinginevyo uwe na bahati ya mtende' maisha yaweza kuwa kama ndoto zako.
Nimemaliza.
Kwamda mfupi niliokwepo chuo niliona yafuatayo;
1) Maisha ya wanachuo wengi niyakuigiza (hayana uhalisia)
2) Matarajio ya wanavyuo wengi ni makubwa kama sera ya elim ya sasa yaan (big results now). kitu ambocho ni tofauti na hali halisi ya huku mtaani.
Taanza nahayo mawili kwaleo!
Mawazo hayo yapo hasa kwawanafunzi ambao ni freshers (fresh from school)
kiukweli ukikaa kuwasikiliza mawazo yao kama umeshapitia maisha ya mtaani utawaonea huruma' kwasababu wanayoyafikilia ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyo!!
Wengi wao wanafikiria baada ya shule ajira' na baada ya miezi kazaa usafiri.
Chondechonde nduguzanguni huku mtaani kugum hatari' huku kuna sera mpya isemayo 'HAIJARISHI UMESOMEA NINI AU UNAJUA NINI ILA UNAMJUA NANI?'' (IT DOES NOT MATTER WHAT YOU KNOW BUT WHOM YOU KNOW).
Ushauri!! Kama unataka kuajiriwa andaa mazingira kwa kujuana na watu' hasa wale wazee ambao unasoma nao lakini tayari wapo kwenye ajira' wape madesa uwasaidie watakukumbuka mkimaliza, ukijifanya nunda imekula kwako!!
Kingine maisha mazuri sio kukaa ofisin' waliojiajiri wanakula bata na wanamaisha mazuri balaa.
Vinginevyo uwe na bahati ya mtende' maisha yaweza kuwa kama ndoto zako.
Nimemaliza.