figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mimi napenda sana warembo huo ndo ukweli, hata nikienda club nikawakuta wachache naona hapalipi.
1. Tatizo ni pale mpo mchezoni anaanza kuuliza "baby unanipenda, hutoniacha.. aah! tamu".
2. Unakuta upo na marafiki zako mnacheza pooltable mara simu unasikia "upo wapi na nani? Nipe niongee nae, umeshakula? Mbona simu ilikua haiiti?"
3. Akiona jina la kike kwenye simu anaanza matatizo na haelewi
4. Anataka kila saa mshikane mikono mara mabusu hata kama ni sokoni na ukikataa eti humpendi. Niaje bana?.
Mia
1. Tatizo ni pale mpo mchezoni anaanza kuuliza "baby unanipenda, hutoniacha.. aah! tamu".
2. Unakuta upo na marafiki zako mnacheza pooltable mara simu unasikia "upo wapi na nani? Nipe niongee nae, umeshakula? Mbona simu ilikua haiiti?"
3. Akiona jina la kike kwenye simu anaanza matatizo na haelewi
4. Anataka kila saa mshikane mikono mara mabusu hata kama ni sokoni na ukikataa eti humpendi. Niaje bana?.
Mia