chisimasi ndani ya Bongo

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,751
196
Sijui kama hii ina fiti humu! Sio mchaga lakini chismasi ntakuwa Bongo. Naondoka Londoni kesho na sehemu ya kwanza kufika ni Mikocheni pale AAR Container kwa ajili ya mnyama aka Mbuzi katoliki nimemmis kichizi akiwa real sio mabacon. Kwa yeyote mwenye interest anaweza akatokea akifika jikoni akijitambilisha ni mwana JF basi full maservice mi ni kijiwe changu kila nikifika Bongo. CHISMASI NJEMA
 
sawa tutajitambulisha but si utupe full details zako ili tukija tuji introduce and tuulizie jina lako?au nije kuku pic?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom