RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Sijui kama hii ina fiti humu! Sio mchaga lakini chismasi ntakuwa Bongo. Naondoka Londoni kesho na sehemu ya kwanza kufika ni Mikocheni pale AAR Container kwa ajili ya mnyama aka Mbuzi katoliki nimemmis kichizi akiwa real sio mabacon. Kwa yeyote mwenye interest anaweza akatokea akifika jikoni akijitambilisha ni mwana JF basi full maservice mi ni kijiwe changu kila nikifika Bongo. CHISMASI NJEMA