Child support kwa mtoto wa kufikia

ZENITH

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
914
638
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.

Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
 
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.

Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
😂😂😂hawataki tupumue mkuu
 
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.

Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!

Kwa mujibu wa sheria au mujibu wa sheria za Kenya. Sheria za kwetu zinasemaje???
 
Hapo najiuliza,ilitokea pia mwanamke alinikuta na watoto,tukawa tunawahudumia kwa pamoja,baada ya kuachana,na yeye ataendelea kuwajibika nao?
Ikate Kote Kote na hiyo ndio maana halisi ya Sheria hizi za upande mmoja tuu ni utaratibu tu na wala si Sheria
 
Mkuu Kwani Kuna shida gani kulea mtoto wa kidume mwenzio? Unaambiwa ukipenda Boga penda na ua lake.
 
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.

Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
nimecheka mno😁 hivyo ukioa single maza maana umebeba na dhamana ya mwanae milele?
 
Back
Top Bottom