Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
SOURCE;CLOUDS FM
SOURCE;CLOUDS FM