ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Kama humjui Gang Chomba basi we sio mzawa wa Dar.
Nyie ndio wale mnaoshoboka kuwapamba mapedeshee ili mpate pesa ya kula.
Kabisa mtu na utimamu kichwani hawezi kuandika eti ''Wema unikumbuke ktk ufalme wako''..... Fanculo.
Kama maisha magumu rudisha mpira kwa Kipa, na sio kuanza kujikombakomba kwa watu.
Then hapa ni JF, nina uhuru wa kutia neno ktk thread yoyote ile, ''hiyo kauli yako eti ulitumwa uchangie'' nenda kawaambie waogea kopo wenzio Facebook mnaoogea sabuni ya kipande, hiyo hiyo unaogea, hiyo hiyo unafulia kichupi chako na hiyohiyo unaenda kusuuzia vibilauli na vibakuli unavyolia ugali na utumbo.
Uharo we
the real italian gang..