Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Wema sepetu akiwa ndani ya mjengo wake wa nguvu maeneo ya K'nyama. Anadai ni yake amenunua, mapambo tu yanagharimu zaidi ya milioni 50 za kitanzania. usikose kusikiliza kipindi cha take one clouds tv kwa mapana na marefu ya habari hii.
Hongera bi dada, haijalishi u meupataje lakin kikubwa na kustirika. Endelea kupata raha mwaya dunia yenyewe hii na maisha yenyewe mafupi.
Sasa waliokuwa wanasema oohh matanuzi wakati hana hata nyumba wafunge midomo. binti anajiandaa kufungua bonge la kampuni....... mie nakuombea tu heri wema wangu, usijensahau kwenye ufalme wako.
Hongera bi dada, haijalishi u meupataje lakin kikubwa na kustirika. Endelea kupata raha mwaya dunia yenyewe hii na maisha yenyewe mafupi.
Sasa waliokuwa wanasema oohh matanuzi wakati hana hata nyumba wafunge midomo. binti anajiandaa kufungua bonge la kampuni....... mie nakuombea tu heri wema wangu, usijensahau kwenye ufalme wako.