Chenge matatani

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
645
KIKOSI cha wabunge kikiongozwa na Naibu Spika, Job Ndugai, kimesafiri kwenda jijini London, Uingereza, kukutana na Bunge la makabwela la nchi hiyo, ili kuongeza ushawishi na hatimaye mabilioni ya fedha yanayopaswa kurejeshwa nchini kutokana na ununuzi wa kitapeli wa rada, yarejeshwe serikalini.

Sakata hiyo ya rada ilimlazimu waziri wa zamani wa miundombinu, Andrew Chenge, kujiuzulu nafasi yake serikalini baada ya makachero wa Uingereza kukuta zaidi ya dola milioni 1 (bilioni 1.6) kwenye moja ya akaunti za nje za mwanasiasa huyo.

Makachero hao walizihusisha pesa hizo na tuhuma za rushwa ya rada huku Chenge mwenyewe akijitapa kuwa pesa hizo ni “vijisenti tu” kwake.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana mjini hapa, kikosi kinachoundwa na wabunge wengine takriban wanne, kitakutana na viongozi mbalimbali wa Bunge la Uingereza, ambako ndiko mzozo wa mauzo ya rada ya kijeshi ulikoanzia ukiwa na aliyekuwa Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataita wa Uingereza, Clare Short.
 
KIKOSI cha wabunge kikiongozwa na Naibu Spika, Job Ndugai, kimesafiri kwenda jijini London, Uingereza, kukutana na Bunge la makabwela la nchi hiyo, ili kuongeza ushawishi na hatimaye mabilioni ya fedha yanayopaswa kurejeshwa nchini kutokana na ununuzi wa kitapeli wa rada, yarejeshwe serikalini.

Sakata hiyo ya rada ilimlazimu waziri wa zamani wa miundombinu, Andrew Chenge, kujiuzulu nafasi yake serikalini baada ya makachero wa Uingereza kukuta zaidi ya dola milioni 1 (bilioni 1.6) kwenye moja ya akaunti za nje za mwanasiasa huyo.

Makachero hao walizihusisha pesa hizo na tuhuma za rushwa ya rada huku Chenge mwenyewe akijitapa kuwa pesa hizo ni "vijisenti tu" kwake.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana mjini hapa, kikosi kinachoundwa na wabunge wengine takriban wanne, kitakutana na viongozi mbalimbali wa Bunge la Uingereza, ambako ndiko mzozo wa mauzo ya rada ya kijeshi ulikoanzia ukiwa na aliyekuwa Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataita wa Uingereza, Clare Short.
Natumaini watakutana na Clare Short pia. Nakumbuka alikuja Tanzania na akakutana na Mkapa Dodoma ambako alimweleza kinagaubaga kwamba mpango wa kununua rada haukuwa na faida kwa nchi hii maskini kwa wakati ule. Ningekua mshauri wa bunge ningemwambia Ndugai na wenzie ni aibu kujaribu kuwaambia waingereza waipe serikali hizo hela wakati bado hatujawachukulia hatua wahusika katika kashfa hiyo. Hivi jamani huu kweli ni ujinga au ni kitu gani hiki kinacho endelea?
 
nadhani kiswahili yake haijanyoroka.anaongelea matata yaliyopita.kaka siku hizi anapeta,anamalizia kutafuna vijisenti vyake kwa mrija!
 
Mzee Mwanakijiji, wapelekee hao wabunge wa uingereza barua rejea uliyowaandikia wakati ule..
 
Hakuna Matata!

What a wonderful phrase

Hakuna Matata!

Ain't no passing craze

It means no worries for the rest of your days

It's our problem-free philosophy

Hakuna Matata!

Hakuna Matata?

Yeah. It's our motto!

What's a motto?

Nothing. What's a-motto with you?

Those two words will solve all your problems

That's right. Take Pumbaa here
Why, when he was a young warthog...

When I was a young wart hog

Very nice

Thanks

He found his aroma lacked a certain appeal
He could clear the savannah after every meal

I'm a sensitive soul though I seem thick-skinned
And it hurt that my friends never stood downwind
And oh, the shame
He was ashamed
Thought of changin' my name
What's in a name?
And I got downhearted
How did ya feel?
Everytime that I...

Hey! Pumbaa! Not in front of the kids!

Oh. Sorry

Hakuna Matata! What a wonderful phrase
Hakuna Matata! Ain't no passing craze

It means no worries for the rest of your days

It's our problem-free philosophy
Hakuna Matata!
Hakuna Matata! Hakuna matata!
Hakuna Matata! Hakuna matata!
Hakuna Matata! Hakuna matata!
Hakuna Matata! Hakuna--

It means no worries for the rest of your days

It's our problem-free philosophy
Hakuna Matata! (Repeats)

I say "Hakuna"

I say "Matata"


 
Last edited by a moderator:
Thread zinazowekwa jukwaa hili huwa ni nzito sana lakini hii nadhani haistahili kuwekwa humu.
 
hivi hizo fedha walizifanyeje ameachiwa?, je ameszitolea justification amezipataje au ndo yamekwisha?
 
Mi nashindwa kuelewa, hao waliohusika na kasha ya rada wana kinga gani, maana hata serikali inaogopa kuwafungulia mashtaka. Kama mbayuwayu wa kikwere yumo kwenye hilo saga si ajiuzulu tu, ili sheria ichukue mkondo wake?
 
Hee! Kwahyo utata kwake ni kukutana na wabunge wa uingereza au? Haisomeki.
 
tuiombee nchi yetu ya amani jamni tuendeleee hivi hivi kudumu na amani na ujimya.tuwaombee walioenda waanikiwe kilichowapeleka hukoooo.amen
 
Back
Top Bottom