Nitajie gundi ya maji huijuayo? Jib ntatoa within next 30min.
Hivi 30 minutes bado!!
Jaman polen nliweka ile cku ndan ya 30min ckupata jib nkauliza vp? Jib ni friji ndo linagandisha maji hizo nyngne mtajua zinagundisha nin
Jaman polen nliweka ile cku ndan ya 30min ckupata jib nkauliza vp? Jib ni friji ndo linagandisha maji hizo nyngne mtajua zinagundisha nin
Hahahahahaha dah! Inawezekana mkuu tena mafriji yenyewe ni ya LGKwa hiyo pale kileleni mlima kilimanjaro kuna ma-friji eeeeeh.......kumbeeee.....:lol: