Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,761
hii kitu nilishawahi kuisikia na majibu yake pia ila nimesahau. Ngoja nifikiri tena
chemsha akili yako unipe jibu la swali hili. Chemsha bongo, nicheupe kama barafu na ni cheusi kama giza, kuliwa ni haramu na kunywa ni halali, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (m) kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja katika umri wao, je, ni kitu gani hicho?
[h=5]Chemsha akili yako unipe jibu la swali hili. Chemsha bongo, nicheupe kama barafu na Ni cheusi kama giza, kuliwa ni HARAMU na kunywa ni HALALI, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (M) Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja katika umri wao, Je, ni kitu gani hicho?[/h]
[h=5]Chemsha akili yako unipe jibu la swali hili. Chemsha bongo, nicheupe kama barafu na Ni cheusi kama giza, kuliwa ni HARAMU na kunywa ni HALALI, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (M) Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja katika umri wao, Je, ni kitu gani hicho?[/h]
duh hiyo si nanihii hiyo! Naijua tu.! M...
[h=5]chemsha akili yako unipe jibu la swali hili. Chemsha bongo, nicheupe kama barafu na ni cheusi kama giza, kuliwa ni haramu na kunywa ni halali, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (m) kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja katika umri wao, je, ni kitu gani hicho?[/h]
yaan mie hadi leo sijui jibu, tatizo nilipenda maths kuliko kiswazi, ebu nisaidieni...
Mh...!!!! Hebu fafanua hii MAUTI kivipi kwa kila hatua kama swali lilivyoelezaJibu ni MAUTI
Mh...!!!! Hebu fafanua hii MAUTI kivipi kwa kila hatua kama swali lilivyoeleza
samahani ..hebu rudia kidogo sijasikiliza vizuri swali lako