KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
Waungwana
Nimesoma sana post za hili jukwaa la mapenzi kiasi kwamba napata kwamba ni rahisi sana kwa wanajamvi kufikia hisia za mapenzi!!!
Yaani jana wakati napitia thread humu, i definitely felt emotionally to Mwanadada mmoja simply kwa kuangalia post zake na hoja za nguvu na avatar yake
Na hii inakuwa very relevant hasa pale ambapo mtu una matatizo yako home au shule au job
DO you feel the same way??
Nimesoma sana post za hili jukwaa la mapenzi kiasi kwamba napata kwamba ni rahisi sana kwa wanajamvi kufikia hisia za mapenzi!!!
Yaani jana wakati napitia thread humu, i definitely felt emotionally to Mwanadada mmoja simply kwa kuangalia post zake na hoja za nguvu na avatar yake
Na hii inakuwa very relevant hasa pale ambapo mtu una matatizo yako home au shule au job
DO you feel the same way??