tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,917
- 18,366
UNYAMA mwingi sanaUmepigwa mpira mwingi sana,,
Hivi vitoto vya chelsea vikitunzwa vitakua hatari sana.
UNYAMA mwingi sanaUmepigwa mpira mwingi sana,,
Hivi vitoto vya chelsea vikitunzwa vitakua hatari sana.
Chelsea leo mmenifurahisha sanaTunajitafuta bado, subiri tujipate Mkuu. Utafurahi
Achana nao hawo machizi wasikuumize kichwa mkuuKuna wale makenge-za walisema mechi 7 hatutaambulia pts 4. Hii ni mechi ya nne je mnahesabu au mumeacha.
Mlisema oh fixtures ngumu hizi
Arsenal 1
Spurs 3
City 1
Bado mechi 3 na huko tutabeba pts. Heshima wekeni
Sisi bado mabingwa wa Dunia
Mbona hata dhidi yenu alipiga mpira mkubwaGalanyeto leo kapiga kazi, safi sana kenge
😆😆😂😂Sio Leo tu siku zote tunakichafua against wakubwa wenzetu au ushasahau dhidi yenu mpaka mkaomba mpira uishe
Fafanua zaidi swali lakoMkimaliza kuangalia game yote naombeni ushahidi wa hiki ninachouliza
"Hivi toka Enzo ametua chelsea kuna game alishawahi kuzikamata ziwe big games au medium games"???
Hasira za kuchana mkeka hizi. Nenda ka renew bado mechi nyingi mkuu. Hii mikeka itakupa ugonjwa wa moyo!na nyie cheltako mnakamia big Match tu.
Bora wewe umesemaGame of the SEASON period!
Asante mkuu goal la 3 sikulionaAmbao hawakiona magoli ya The blues waone hapo.View attachment 2812044View attachment 2812048View attachment 2812051View attachment 2812049
Kuwa na adabu man.city alikukanda 3 bila hukuomba hata maji,utofauti wa the blues na kondoo ni harufu tu.View attachment 2811890
Nimeshaweka mkuu.Asante mkuu goal la 3 sikuliona
Tushapoa mkuu the bluesPole sana Chelsea
Hakika leo mmepambana
Mmedhulumiwa ushindi wenu
Ile haikua penalty
4-3
Hilo dogo ni kama robot flani hivi , halichoki .Energy anayoitoa Gallagher uwanjani hakuna wa kumuondoa 1st eleven.