Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,415
- 26,955
Bakayoko.
Daaah,
Daaah,
Naona unatamani aondoke.Amsainie Nani? Nyie Jifanyeni Kukataa Hela Za Real Madrid halafu Mwakani Aondoke Bure Muishie Patupu!
Hata akiondoka bure ameshatuletea faida hakuna shakaHazard Kashabeba EPL, Kashabeba FA.. Kwahiyo Chelsea hajabakisha Kitu! Sasahivi Anahitaji CL Na Pesa tu..
Kwahiyo Niwazi Kuwa Anaona Njia Rahisi Ya Kupata Pesa za Kumwaga pamoja na CL Ni Madrid Mkuu...
Nakuhakikishia Hasaini kataba Mpya.
Na Asipouzwa Basi ataondoka Bure Kwenda Real Kama De Gea atakavyoondoka Bure Man United.
Hazard bado ana miaka 2 mpaka 2020. Real Madrid wakimtaka wamchukue kwenye dirisha dogo kwa dau la paundi mil200 au kama hawataki wapite kule tutampa mshahara wa paundi 300,000 kwa wiki na miaka mingine 4 juuAmsainie Nani? Nyie Jifanyeni Kukataa Hela Za Real Madrid halafu Mwakani Aondoke Bure Muishie Patupu!
Hazard bado ana miaka 2 mpaka 2020. Real Madrid wakimtaka wamchukue kwenye dirisha dogo kwa dau la paundi mil200 au kama hawataki wapite kule tutampa mshahara wa paundi 300,000 kwa wiki na miaka mingine 4 juu
Man U si wanahela wale, usiwalinganishe na Chelsea, umeona Lukaku kanunua li benz la mimilioni mia mbili na ushee huko kwa mshahara wa siku 4 tu..Huo ni uonevu wa Hali ya juu!!
Sanchez anavuta 500K per week halafu unataka umlipe Hazard only 300K ?????
Seriously!
Man U si wanahela wale, usiwalinganishe na Chelsea, umeona Lukaku kanunua li benz la mimilioni mia mbili na ushee huko kwa mshahara wa siku 4 tu..
Ndio hivyo, Man U ni level nyingineKwa hiyo unajitia unyonge kwa ManU?
Ndio hivyo, Man U ni level nyingine
Kwa hii interview unachokitafuta Wewe utakipata,Kwa hiyo unakubali kuwa Chelsea ni club ndogo sana kulinganisha na ManU
Kipimo chenu ni ubingwa la sivyo hakuna cha majogoo Bali mtetea tuNdugu zanguni mpo?
Mbona mmepooza sana na Yuropa League yenu?
Najua mnatuogopa sana kwa sasa!
Kule Keita na kule Fabihno
Mbele wale wanyama watatu ni shida kwa kweli!
Nani haya bado hayaogopi Majogoo ya Anfield
Nani hayaogopi Majogoo?
Ubingwa ni wetuKipimo chenu ni ubingwa la sivyo hakuna cha majogoo Bali mtetea tu
Ni Chelsea tu ndo wanaweza isumbua CityHadi sasa sijaona timu ya kuwasumbua City, wale jamaa hawafai
Chelsea ndio bingwa sio timu ya mtu mmoja SalafinaUbingwa ni wetu
Nani anatuzuia sasa?
Wewe huwaga unapoteaga. Anabaki Ngwaba peke ake. Msimu huu msipochukua hata carabao mlie tu.Ndugu zanguni mpo?
Mbona mmepooza sana na Yuropa League yenu?
Najua mnatuogopa sana kwa sasa!
Kule Keita na kule Fabihno
Mbele wale wanyama watatu ni shida kwa kweli!
Nani haya bado hayaogopi Majogoo ya Anfield
Nani hayaogopi Majogoo?
Chelsea ndio bingwa sio timu ya mtu mmoja Salafina
Nani kakudanganya? Majuzi Hazard kaingia team inaongoza sio nyie na SalafinaKama ilivyo Chelsea Ni Timu Ya Hazadina...
Without him you are Nothing. Period