Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,442
- 22,005
Jana Kepa kafanya makosa gani.?kepa bado sana anafanya alot of mistakes,landa tusubiri anaweza kuja kuwa kama de gea....but for now sio wakumpa asilimia mia ya kumuamini golini.
Jana Kepa kafanya makosa gani.?kepa bado sana anafanya alot of mistakes,landa tusubiri anaweza kuja kuwa kama de gea....but for now sio wakumpa asilimia mia ya kumuamini golini.
jana our defensive was Good enough to protect him,lakini angalia mechi zake za nyuma akiwa Atletico Bilbao ndo utajua nini namaanisha....Jana Kepa kafanya makosa gani.?
Uelewa mdogo tu ndo shida. Ila nimesema kwa mfumo huu mpya tegemea kuona Kante akifunga magoli 5-8 tofauti na tulivyomzoeaWakuu Samahanini Naomba Kuwauliza!!! Inamana Matokeo Ya Jana pamoja na Goli la Kante Ndiyo Mumesha-judge msimu Mzima itakavyokuwa! si Ndiyo?
Liverpool leo wamemfunga westham timu yenye nusu ya wachezaji ambao ni wapya kabisa. Ukijumuisha na kocha wap Pellegrino
Wanaona kama ligi ishakuwa nyepesi. Bado ni mapema sana..
Chelsea wamecheza kwa kujiamini mpaka wakawa wanafanya silly mistakes za hapa na pale hasa kwenye kupoteza mipira hovyo hovyo. Kwa kiwango cha wachezaji Che alionao hawakutakiwa kupoteza mipira ovyo hasa kipindi cha kwanzaKitu gani hujapenda?
Mashaka ya Chelsea bado iko mbele Hazard na wilian wanahitaji watu wa kasi, mipira mingi ya Wilian inapotea kwa sababu hakuna mshambuliaji wa kasiHuu usajili wa hwa madogo Joginho na Kepa sina mashaka nao mpaka sasa
Kepa ndio kashafika golini, No. 1 hatuwezi mtegemea Willy Caballero au Robert Green!!!kepa bado sana anafanya alot of mistakes,landa tusubiri anaweza kuja kuwa kama de gea....but for now sio wakumpa asilimia mia ya kumuamini golini.
Kaanza na kamojaWaliokuwa na wasiwasi na mashaka kwamba Kante atacheza vipi na Joginho naamini Jana mmepata majibu.
Kante kwa sasa atakuwa anakuwa anacheza mbele ya midfield wawili kulia. Kwa hiyo tutegemee kumuona Kante akishambulia zaidi na hivyo tutegemee magoli zaidi kuliko misimu ya nyuma.
Ngwaba hamia tu huku kabisa maana naona muda mwingi unatumia huku kwetu jamvini kuliko kule uani kwenuWakuu Samahanini Naomba Kuwauliza!!! Inamana Matokeo Ya Jana pamoja na Goli la Kante Ndiyo Mumesha-judge msimu Mzima itakavyokuwa! si Ndiyo?
Atletico Bilbao ni timu ndogo huwezi pima uwezo wake wote. Hata Degea, Courtois na Alisson wakienda kuidakia Bilbao watakuwa worse kuliko Kepajana our defensive was Good enough to protect him,lakini angalia mechi zake za nyuma akiwa Atletico Bilbao ndo utajua nini namaanisha....
Ngwaba hamia tu huku kabisa maana naona muda mwingi unatumia huku kwetu jamvini kuliko kule uani kwenu
Na ww pamoja na goli la sturidge ushaona kuwa ni bingwaNyinyi Karibuni Hapa Mutapoteana! Subirini tu.
Sarri sio mtu wa kukaba ni mwendo wa kushambulia tuChelsea wamecheza kwa kujiamini mpaka wakawa wanafanya silly mistakes za hapa na pale hasa kwenye kupoteza mipira hovyo hovyo. Kwa kiwango cha wachezaji Che alionao hawakutakiwa kupoteza mipira ovyo hasa kipindi cha kwanza
Nimeshangaa sana Sari hakusajili striker hata mmoja, Mimi ndo ningekua Sari basi Giroud angakua striker namba mojaMashaka ya Chelsea bado iko mbele Hazard na wilian wanahitaji watu wa kasi, mipira mingi ya Wilian inapotea kwa sababu hakuna mshambuliaji wa kasi
Na ww pamoja na goli la sturidge ushaona kuwa ni bingwa
Kumbuka chelsea ndio tuliwanyima ubingwa 2013/2014
Hivyo inabidi utuheshimu
Na ww pamoja na goli la sturidge ushaona kuwa ni bingwa
Kumbuka chelsea ndio tuliwanyima ubingwa 2013/2014
Hivyo inabidi utuheshimu