hujui lolote wewe ulaya nzima na dunia nzima wanamkubali alafu wewe mtz unaonaongea ndo ulete zako....

Kazi ya mourinho ni kusajiri wachezaji wakubwa na kuwasimamia mazoezini tu hana mbinu za ushindi
 
Sidhani night halali kumdharau Maurinho kuwa si kocha Kwa kufungwa jana. Mtu asiye kocha hawezi kuwa ma cv kama yake. Jana no mchezo ambao amefungwa name si kweli kuwa makocha bora timu zao huwa hazifungwi. Hapa sasa tuna criticise for the sake ya ku criticise


Umesma vema mkuu...............
 
Utakuja kuona ubora wa kuachia makombe mengine.....

Hapana mkuu. Siyo kweli. Jana CHL ilizidiwa kama ilivyofungwa na Tottenham kwenye EPL. Hakuna timu inayopenda kufungwa au kuachia makombe. Huwezijua kesho mechi itakuwaje.
 
Hapana mkuu. Siyo kweli. Jana CHL ilizidiwa kama ilivyofungwa na Tottenham kwenye EPL. Hakuna timu inayopenda kufungwa au kuachia makombe. Huwezijua kesho mechi itakuwaje.


hapana hatukuzidiwa Stats zinaonyesha tuliongoza kwa kila kitu tatizo ni DHARAU ndio iliyopelekea tukafungwa....wachezaji kiakili walijijengea kua hiyo ni timu ndogo lazima wataipiga kumbe mambo hayako hivo...
 
£200M CHELSEA STUNNED IN FA CUP BY £7,500 BRADFORD!


''Chelsea's £200million men were sunk by a supermarket shelf stacker who was plucked from non-league obscurity for the princely sum of £7,500.
James Hanson was the only member of the Bradford City squad at Stamford Bridge to have cost the club a fee when he joined the League One side from Guiseley in 2009.


The rest of Phil Parkinson's parade of heroes were stitched together by a mixture of free transfers and low-key loan deals.
In contrast the total cost of Jose Mourinho's shocked stars clanged the £200m mark.
Even £99m of talent on the bench alone could not rescue Mourinho from the most embarrassing moment of his managerial career as the Bantams proved worth their weight in gold.
CHELSEA
PETR CECH: £7m
ANDREAS CHRISTENSEN: trainee
KURT ZOUMA: £12m
GARY CAHILL: £7m
CESAR AZPILICUETA: £6.5m
RAMIRES: £20m
OSCAR: £25m
JOHN OBI MIKEL: £4m*
MOHAMED SALAH: £11m
DIDIER DROGBA: free
LOIC REMY: £8.5m
Subs: Cesc Fabregas - £30m, Nathan Ake - trainee, Eden Hazard - £32m, Thibaut Courtois - £5m, Willian - £32m, John Terry - trainee, Ruben Loftus-Cheek - trainee
TOTAL COST: £200m
* plus compensation


BRADFORD
BEN WILLIAMS: free
STEPHEN DARBY: free
RORY McARDLE: free
ANDREW DAVIES: free
JAMES MEREDITH: free
BILLY KNOTT: free
GARY LIDDLE: free
FILIPE MORAIS: free
ANDY HALLIDAY: free
JAMES HANSON: £7,500
JON STEAD: loan
Subs: Alan Sheehan - free, Billy Clarke - free, Francois Zoko - loan, Mark Yeates - free, Jason Kennedy - free, Christopher Routis - free, Matthew Urwin - free
TOTAL COST: £7,500''








sometimes football is not fair

sorry football is fair game
 
Mourinho ni kocha mzuri na hakuna wa kufananisha naye katika dunia ya soka kwa wakati huu.

Mkuu mourinho alipokuwa na Porto alikuwa ana paki bus.alivyoenda Chelsea akawa anapark bus,alivyoenda inter Milan akawa anapark bus,akawa kocha wa club kubwa na bora duniani akawa ana park basi.akarudi Chelsea game za msimu huu man city,man u,Liverpool zote anapark bus
 
hapana hatukuzidiwa Stats zinaonyesha tuliongoza kwa kila kitu tatizo ni DHARAU ndio iliyopelekea tukafungwa....wachezaji kiakili walijijengea kua hiyo ni timu ndogo lazima wataipiga kumbe mambo hayako hivo...

Hata mechi na Liverpool inabidi wakomae.
 
Mkuu mourinho alipokuwa na Porto alikuwa ana paki bus.alivyoenda Chelsea akawa anapark bus,alivyoenda inter Milan akawa anapark bus,akawa kocha wa club kubwa na bora duniani akawa ana park basi.akarudi Chelsea game za msimu huu man city,man u,Liverpool zote anapark bus


Senegal ktk Wc ya mwaka 2002 ilipaki bus ikaimfunga mkoloni wake.................kote huko ulikotaja alikopita Mou na hiyo mbinu yake aliacha mafanikio....

J4 LFC wakija Darajani ndio siku yao ya kufa na nitakuita hapa uje uendeleze pumba zako dhidi ya Mou.
 
Hata mechi na Liverpool inabidi wakomae.

Akomae nani LFC au Chelsea? BR anajua vizur kabisa kua akija darajani kuna hali ngumu alilisema baada ya mechi yetu na wao tarehe 20 kwamba hapendezwi na matokeo....
 
Senegal ktk Wc ya mwaka 2002 ilipaki bus ikaimfunga mkoloni wake.................kote huko ulikotaja alikopita Mou na hiyo mbinu yake aliacha mafanikio....

J4 LFC wakija Darajani ndio siku yao ya kufa na nitakuita hapa uje uendeleze pumba zako dhidi ya Mou.

Watu wameshamjulia ndio maana hana jipya
Msimu 2012/13 hakuchukua kombe lolote katika makombe ma3 aliyokuwa anashiriki akiwa na real Madrid,msimu 2013/14 hakuchukua kombe lolote kati ya mako be ma4 aliyokuwa anashiriki na Chelsea.msimu wa 2014/15 kati ya makombe ma4 moja kabwaga manyanga
Huyu ndie kocha bora ulaya?
 
Watu wameshamjulia ndio maana hana jipya
Msimu 2012/13 hakuchukua kombe lolote katika makombe ma3 aliyokuwa anashiriki akiwa na real Madrid,msimu 2013/14 hakuchukua kombe lolote kati ya mako be ma4 aliyokuwa anashiriki na Chelsea.msimu wa 2014/15 kati ya makombe ma4 moja kabwaga manyanga
Huyu ndie kocha bora ulaya?


Huna hoja wewe kalale
 
Senegal ktk Wc ya mwaka 2002 ilipaki bus ikaimfunga mkoloni wake.................kote huko ulikotaja alikopita Mou na hiyo mbinu yake aliacha mafanikio....

J4 LFC wakija Darajani ndio siku yao ya kufa na nitakuita hapa uje uendeleze pumba zako dhidi ya Mou.

kaka za siku nyingi. nimepita tu kuwasalimia.
 
Back
Top Bottom