Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Matic ni mchezaji wa Chelsea ina maana akiwa nje hawezi kuwaambia akina Drogba waache dharau?
Teh teh teh......saa4:45 goma linaaza utakua mabibo ya wapi nije tucheki mechi wote?
Matic ni mchezaji wa Chelsea ina maana akiwa nje hawezi kuwaambia akina Drogba waache dharau?
Teh teh teh......saa4:45 goma linaaza utakua mabibo ya wapi nije tucheki mechi wote?
Sipo Dar kwa leo kaka!Nipo Ifakara lkn soka nitaliangalia hapa mission
Hili ndiyo kombe pekee ambalo lipo within ur reach mengine haya 2(EPL & CL) yanaonekana kama yameisha waponyoka!
Msipo vuka leo itakuwa another trophy-less season
Nani anaongoza EPL? Chelsea ameshatolewa kwenye CL? LFC ndio hawana kombe zaidi ya hili la CO na hili ndio msahau kabisa maana mtapigwa kipigo cha mbwa mwizi................
Ninacho jua ni kuwa leo mtautafuta sana kwa tochi
Nani atashinda mm sio Sheikh Yahaya
Sawa. Lakini yaweza kuwa kinyume chake pia. Yaani, kipigo kilichopita kikazaa kipigo kingine.
Yaani miye niwaombee heri rentboys ama?!?
Mmmmm Liverpool!!!?
asante sana. Ni mechi ngumu ukizingatia ndiyo njia ya kwenda fainali, lakini ushindi muhimu.
Asante sn mamito everlenk....nahisi leo utakua umechoka hivo hutaweza kuangalia mtanange....
Leo choka mbaya,hapa najitahidi niwahi kufika home nipumzike nikiwahi tunaweza kuwa pamoja hapa ,hili game ningependa nisihadithiwe nione live.....
Tumetengeneza nafasi 2 za wazi hadi sasa dhidi ya 0 za Chelsea