Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,766
Oya mwanangu naona unachanganyikiwa hivi Alonso anachezaga beki mbili (rightback) kweli? Poleni naona kisago kinawapata kisawasawa
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji1787.png)
Oya mwanangu naona unachanganyikiwa hivi Alonso anachezaga beki mbili (rightback) kweli? Poleni naona kisago kinawapata kisawasawa
Sasa chelsea tukifungwa situnaenda kupindua meza huko huko Santiago Bernabeu? Sindio makubaliano yetu au mnasemaje!
Msisingizie vitaa...Ni sawa tu hatujui wanapitia hali gani tangu vita imeanza,yote ni sawa tu
Muna ndegee ya kwenda Spain?Mezs tunapindua next week![]()
Yani mi kwakweli hata roho hainiumi kwa hali tuliyonayo Chelsea kwa sasa kisaikolojia ya kutengwa na Bosi wetu Abrahamovich lakini bado kuna kenge wanakenua meno ilihali kiuhalisia wanaelewa kabisa Chelsea imejitahidi hata kufikia hatua hiyo na laiti ingekuwa ni timu zingine sijui sasa hivi zingekuwa wapiNi sawa tu hatujui wanapitia hali gani tangu vita imeanza,yote ni sawa tu
Madrid wamenikera sana, wanashidwaje na katimu kadogo kama Brentford.Real Madrid wachumba tu, tunaenda kushinda 4 bila pale kwao.
Au mnasemaje THE BLAUZ wenzangu?
In Tuchelewe we trust.
![]()