Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,379
- 21,881
Daah huyu James angekua fit msimu mzima sijui ingekuaje
Jinsi alivyowatoka NF na Ile pasi ya ajabu sanaDaah huyu James angekua fit msimu mzima sijui ingekuaje
Cole Palmer huyu dogo asipopata majeraha na akamaintain hii form yake ya uchezaji , huyu dogo ni real talent .Wachezaji walio na mchango wa mabao 40+ duniani msimu huu.
• Kylian Mbappe
• Cole Palmer
• Harry Kane
• Erling Haaland
Je! unajua ni ajabu kiasi gani ili kuwa miongoni mwa wachezaji hao hapo juu katika msimu wako kamili wa kwanza kabisa?
Hongera Cole Palmer!
View attachment 2988274
Hapana. Sisi tutawapiga wale manyumbu. Ila mngefungwa, european dreams zenu zingeamuliwa na mechi ya mwisho. Nyumbu wakishinda na nyie msiposhinda, wanaenda ulaya wao.Kwa sababu kesho mnaogopa mtapigwa
Nkunku mzimaHapana. Sisi tutawapiga wale manyumbu. Ila mngefungwa, european dreams zenu zingeamuliwa na mechi ya mwisho. Nyumbu wakishinda na nyie msiposhinda, wanaenda ulaya wao.
Itakuwa vema ikiwa hivyo. Pochettino amepata stress sana na nyie. Angalau apate vimichuano vya ulayaNkunku mzima
James mzima
Gusto mzima
Colwill mzima
Sterling aliyezaliwa upya mzima
Mechi zote mbili point 6 na kufikisha 63 ambazo Mbole haitafikisha, Newcastle asipoangalia atadrop point hapo na Europa tunakwenda mwakani
Sisi tukidondokea europa au conference ni kubeba tu hatujui Sevilla na genge lake yupo au hayupo tunatembeza rungu hadi mshindo mzito wa kubeba hatuna maksihara na michuano hiiItakuwa vema ikiwa hivyo. Pochettino amepata stress sana na nyie. Angalau apate vimichuano vya ulaya
Tuwe na matumain huenda upasuaji aliofanyiwa huenda ukatibu shida yakeDaah huyu James angekua fit msimu mzima sijui ingekuaje
Appreciation kwa Caicedo.Jinsi alivyowatoka NF na Ile pasi ya ajabu sana
Waliokuwa wanataka auzwe sio kwa sababu Gusto ni mzuri ila kwa sababu majeraha ya James imefikia wakati mashabiki wakakata tamaa nayeKuna watu humu walitaka James auzwe kisa Agusto ana perform vizuri si umeona class aliyonayo James nachomkubali huyu jamaa hata kama katoka injuries akirudi tu haitaji mechi nyingi au chache arudi kwenye kiwango chake hii tofauti sana na Benchillwel
Upo sahihi, ligi zilizopewa pointi nyingi ni Ujerumani, Italy na SpainNdugu naombeni ufafanuzi kidogo ila kwa uwelewa wangu najua Chelsea ikishika nafasi ya 6 haiwezi kwenda Ueropa league itaenda Conference cup hata kama Man city atachukua kombe la FA kwasababu nafasi ya Europa league ipo moja tu ambayo ni nafasi ya 5 ambayo sisi hatuwezi kuifikia.Kwanini Europa league inachukua nafasi ya tano pekee ni kwasababu league ya uingereza point zake zimeshuka baada ya team zake kutofanya vizuri kwenye miaka ya hivi karibuni kwenye michuano ya Ulaya.kama sipo sawa nisahihisheni