Buzikitafunwa
Vipi upande wa mwanamke? yeye huseviwa kwa majina gani? naona hayo ya wa kaka tu.
Ahahahahaaah!!nimesikia hadi wengne ambao wanawachukia waliojipendekeza kwao mara utawaskia wanawa-save eti mbuzi,mara kitimoto,fyagio,castle-lite duh ushawahi seviwa hv au?
Mweh!!kimeta,nyonya damu,jini,ngumi za uso(mtu anayeomba sana)vizinga,vampire