Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
lizzy kuna wakati huwa najiuliza na kutamani mtu ausome moyo wangu lakini inashindikana nachukia na kukasirika sana pale mtu anapoanza uhusiano na mtu huku akijua lengo lake ni kumtumia tu iwe kupata hela yake,kukata kiu uwa inaumiza sana kwanini usitafute vicheche humo barabarani ufanye ivo.unakuta mkaka wa watu katulia kumbe dada anaangalia mifuko yake na kumuendesha left and right.
Chauro ni wachache sana wanaoingii kwenye mahusiano wakiwa na malengo thabiti!Wengi ni kwa nia ya kutumiana tu kwa namna moja au nyingine ndo maana kila siku watu hawaishi kuimba wimbo wa 'majaribu'.