johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,112
Mchwa ni wale Watumishi ambao kucha kutwa kazi yao kubwa ni kifisadi Fedha za Miradi ya Maendeleo serikalini
Chawa ndio wale wapambe ambao kazi yao kubwa ni Kuwapamba viongozi wa kisiasa kwa Sifa za Uwongo ili wao wapate fursa za kupiga dili. Uchawa ni aina ya Ushetani unaowafanya Viongozi wapenda Sifa kupofushwa macho
Kikawaida Madilkteta ndio hujikuta wamezungukwa na Chawa mfano pale Chadema, TLP CUF, NCCR na ACT kwa ayatollah
Najiuliza Kati ya hawa Chawa wanaoharibu mfumo wa Utawala Bora na wale Mchwa nani ni " hatari" zaidi?
Chawa ndio wale wapambe ambao kazi yao kubwa ni Kuwapamba viongozi wa kisiasa kwa Sifa za Uwongo ili wao wapate fursa za kupiga dili. Uchawa ni aina ya Ushetani unaowafanya Viongozi wapenda Sifa kupofushwa macho
Kikawaida Madilkteta ndio hujikuta wamezungukwa na Chawa mfano pale Chadema, TLP CUF, NCCR na ACT kwa ayatollah
Najiuliza Kati ya hawa Chawa wanaoharibu mfumo wa Utawala Bora na wale Mchwa nani ni " hatari" zaidi?