Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,368
Waziri Mwamri amewawakia mkurugenzi na viongozi wengine wa halmashauri ya wilaya ya Chato kwa madai ya kutafuna fedha za miradi ya zahanati na josho zaidi ya 60million.
wapi Maghufuli sasa................yupo busy na ya wenzake wakatio kwake kunaungua!!!
source: TBC taarifa ya habari.
wapi Maghufuli sasa................yupo busy na ya wenzake wakatio kwake kunaungua!!!
source: TBC taarifa ya habari.