BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
kula na kusahau ndio mtindo wa ccm
lakini maghufuli anahangaika na jiti mbili mbili za wenzake huku, kwake watu wanakula hata hawasazi wala nini!!!
kwa mtu anayejua delegation of power na division of labour hawezi kuandika ujinga kama unaoandika wewe magufuli ni waziri wa ujenzi tanzania ha deal na kaeneo kadogo kama wilaya ya chato na kigamboni. Angalia barabara ya kwenda chato iko kama ya kwenda kwenu kaka? Hata baiskeli hazipiti. Una maana hata polisi wakifanya makosa aulizwe magufuli, daktari akiiba madawa aulizwe magufuli, mwanafunzi kapata mimba shuleni aulizwe magufuli. Nasema narudia magufuli anajua kazi yake haingilii wizara nyingine eleweni hilo yeye siyo mrema. Dr. Kaza buti ukiona unasemwa maana yake unafanikiwa na mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe toka lini mwarobaini ukaukuta watoto wapopoa matunda yake? Lakini mpera na jamii yake watu ndipo wanapopoa matunda angalia kaka majungu yasikutishe fanya kazi yako wasio jua kitu watabaki kulalamika tu.