Chatanda (MCC) ameungana na viongozi na wafanyakazi mbalimbali kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
816
514
CHATANDA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI JIJINI ARUSHA

📅 01 Mei, 2024
📍Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ameungana na viongozi na wafanyakazi mbalimbali kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika leo Tarehe 01 Mei, 2024 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha ambapo Mgeni Rasmi ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Phillip isdor Mpango.

#UWTimara
#JeshiLaMama
#Kaziiendelee
 

Attachments

  • IMG-20240501-WA0055.jpg
    IMG-20240501-WA0055.jpg
    143.1 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0054.jpg
    IMG-20240501-WA0054.jpg
    137.9 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0053.jpg
    IMG-20240501-WA0053.jpg
    151.2 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0051.jpg
    IMG-20240501-WA0051.jpg
    138.7 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0050.jpg
    IMG-20240501-WA0050.jpg
    178.9 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0052.jpg
    IMG-20240501-WA0052.jpg
    176.2 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0048.jpg
    IMG-20240501-WA0048.jpg
    140.2 KB · Views: 1
  • IMG-20240501-WA0047.jpg
    IMG-20240501-WA0047.jpg
    157.8 KB · Views: 2
  • IMG-20240501-WA0049.jpg
    IMG-20240501-WA0049.jpg
    149 KB · Views: 1
CHATANDA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI JIJINI ARUSHA

📅 01 Mei, 2024
📍Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ameungana na viongozi na wafanyakazi mbalimbali kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika leo Tarehe 01 Mei, 2024 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha ambapo Mgeni Rasmi ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Phillip isdor Mpango.

#UWTimara
#JeshiLaMama
#Kaziiendelee
Miongoni mwa hirizi za CCM huyo
 
Habari kama hii ina faida gani kwa taifa au binadamu ye yote? Kuhudhuria kwake kumemsaidia nani?😳
 
Back
Top Bottom