Wingu la sintofahamu kuhusu kifo cha mfanyabiashara wa madini aliyedaiwa na polisi kujiua mkoani Geita (runzewe) baada ya ndugu wa marehemu kukataa kuuzika mwili wa marehemu mpaka uchunguzi (postmortem) ufanyike na hela zinazokadiriwa 300m alizokuwa nazo nyumbani kwake zilichukuliwa na polisi zipatikane.
Mwili umekutwa na tundu mbili za risasi kichwani na tumboni kitu kinacholeta wasiwasi kama kweli alijiua.
Juhudi za RPC wa Geita kuwatisha wazike zimeshindikana na marehemu amekwamia Geita Hospital
Mwili umekutwa na tundu mbili za risasi kichwani na tumboni kitu kinacholeta wasiwasi kama kweli alijiua.
Juhudi za RPC wa Geita kuwatisha wazike zimeshindikana na marehemu amekwamia Geita Hospital