Kipindi cha "Je tutafika" kinachorushwa na Channel Ten na kuongozwa na Mzee Makwaia, ni kizuri sana sema tu Mwongozaji/mtangazaji Makwaia anaboa mno kwa kumwingilia mzungumzaji wakati ana flow mpka anampotezea hoja na points zake!
Pia ana uliza maswali mareeeeeeeeeeeeeefu mwisho kipindi kinaonekana kama yeye ndio mzungumzaji then anapomruhusu mhusika kuongea ghafla anamwingilia tena!!! Dah!! sijui ni uzee?
Badilika taf!!!
Pia ana uliza maswali mareeeeeeeeeeeeeefu mwisho kipindi kinaonekana kama yeye ndio mzungumzaji then anapomruhusu mhusika kuongea ghafla anamwingilia tena!!! Dah!! sijui ni uzee?
Badilika taf!!!