mimi naona yuko sawa. kuna baadhi ya waongeaji nao wanajifanya kutoka kwenye mada kwa makusudi--anajitahidi sana kuwarudisha kwenye mjadala--ndio maana anaonekana anawa-interupt kwenye maongezi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.