Channel ten: Kipindi cha 'Je, tutafika' Makwaia unaboa!

Tokea rasimu ya katiba ilipotoka imemchanganya vilivo huyu mzee upande wa kuirejesha TANGANYIKA, nchi aliyozaliwa.
 
Mwanamke -------- huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Makwaia wa Ch10 anaharibu kipindi chake mwenyewe
 
mimi naona yuko sawa. kuna baadhi ya waongeaji nao wanajifanya kutoka kwenye mada kwa makusudi--anajitahidi sana kuwarudisha kwenye mjadala--ndio maana anaonekana anawa-interupt kwenye maongezi yao.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom