mluga JF-Expert Member Oct 8, 2010 676 215 Jun 21, 2011 #1 Jamani mimi sina komenti, mambo hayo Attachments Bongo.jpg 71.9 KB · Views: 411
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jun 21, 2011 #5 Aaaaaa. Lundenga......hao maajent wako vilaza
K kinyongarangi Member May 4, 2011 67 16 Jun 22, 2011 #7 Hata mwaka jana mrembo wa changombe alikuwa hivihivi na akashinda taji la miss tz.
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,033 Jun 22, 2011 #8 Chimunguru said: mbona anaoneka mzee nanma hiyoo Click to expand... majaji wote wa kiume wakupitie overnight ili utangazwe mshindi, utaacha kuonekana mzee?
Chimunguru said: mbona anaoneka mzee nanma hiyoo Click to expand... majaji wote wa kiume wakupitie overnight ili utangazwe mshindi, utaacha kuonekana mzee?
Eshacky JF-Expert Member Apr 26, 2011 965 244 Jun 22, 2011 #9 Utasikia am 22yrz old. Sura linamkunyaz!!! Itabid Fifa watuazime kile kifaa cha kupimia miaka.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,871 155,835 Jun 22, 2011 #10 ngwanana siswile kumaso, mwee nkifu nkikulu uju.
Kimilidzo JF-Expert Member Jan 3, 2011 1,346 613 Jun 22, 2011 #11 Black beauty, ila umri unatia mashaka. Chang'ombe mwaka huu jihesabieni wasindikizaji tu kwani huyu alifaa kuwa matron wa washiriki na sio mshiriki.
Black beauty, ila umri unatia mashaka. Chang'ombe mwaka huu jihesabieni wasindikizaji tu kwani huyu alifaa kuwa matron wa washiriki na sio mshiriki.
A andry surlbaran Senior Member Apr 13, 2011 166 20 Jun 22, 2011 #12 kinyongarangi said: hata mwaka jana mrembo wa changombe alikuwa hivihivi na akashinda taji la miss tz. Click to expand... ha ha ha ha wewe yule mdogo sana she's my very good friend
kinyongarangi said: hata mwaka jana mrembo wa changombe alikuwa hivihivi na akashinda taji la miss tz. Click to expand... ha ha ha ha wewe yule mdogo sana she's my very good friend
moblaze JF-Expert Member Nov 22, 2010 231 27 Jun 22, 2011 #13 hiyo face????? m'bibi jamani hastahiri...wakuu, wekeni picha za washindani wenzake
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Jun 22, 2011 #14 View attachment 32463 Hiyo ndiyo Bongo.
Qulfayaqul JF-Expert Member Apr 10, 2008 480 84 Jun 22, 2011 #15 Duh kazi kweli kweli, sijui labda mm sijui wazuri.
TONGONI JF-Expert Member Feb 18, 2011 1,041 373 Jun 22, 2011 #17 Gama said: Kama dume vile! Click to expand... Kabla sijasoma hii,nilikuwa najisemeza huyu mbona kama kidume flani!
Gama said: Kama dume vile! Click to expand... Kabla sijasoma hii,nilikuwa najisemeza huyu mbona kama kidume flani!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Jun 22, 2011 #19 utajuaje ?? labdaa ilikuwa vibibi contentsssssss:A S 114:
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,046 10,695 Jun 22, 2011 #20 She must in the region of 30+....Uuuuf!