Changamoto za wakulima

kilaza Sammy

Member
Oct 5, 2010
13
4
Katika harakati za kujijengea uwezo wa baadae(near future) niliamua kutumia pesa zangu kidogo za bodi ya mkopo (mimi ni mwanafunzi mwaka wa tatu) kufanya kilimo. Nilianza na project tatu tofauti kwanza fish farming -mkenge mkuranga(Upo hatua za awali) pili kilimo cha passion,mahindi,karanga,mung'unya(butternut squash) -bupu mkuranga,na mradi wa tatu ni majaribio kilimo cha mahindi kwa kutumia mbegu hybrid-mwanzomgumu kisarawe.

Mafanikio; mradi wa bupu umeenda vizuri sana na nategemea good yields soon

Changamoto; mradi wa mwanzomgumu- mwaka huu kimetokea kitu cha ajabu sana mashamba mengi mahindi ama yamekufa au kudhoofu. Wakulima wanatoa hypothesis kuwa ni athali za mabomu ya Mbagala! Je wataalam wa kilimo mnasemaje?
 
mkuu ... hebu nijuze zaidi kuhusu mung'unya(butternut squash) -bupu

nashukuru
 
mkuu ... hebu nijuze zaidi kuhusu mung'unya(butternut squash) -bupu

nashukuru

Ndugu ahsante, Mung'unya linaloitwa butternut squash ni aina ya boga zenye umbo dogo na rangi kama ya machungwa. Yapo familia moja inaitwa "cucurbits" pamoja na matango,tikiti,maboga ya kawaida,n.k. faida zake ni kwamba huzaa sana kuliko boga za kawaida na sehemu inayoliwa ni kubwa (minofu).

Bupu ni kijiji wilayani mkuranga,nice time.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
@Kilaza
Hivi market ya hiyo Mung'unya? kwa hekari moja unaweza kuzalisha kiasi gani? Bupu ni mbali kiasi gani toka Mkurunga mjini? Vp upatikanaji wa ardhi huko?
 
market nategemea kuuza kisutu market na kuhuisha potential customers nipo kwenye mchakato wa kuanza mazungumzo na shoprite chains.

mwendo wastani dk 30 or so barabara sio tarmac so it varies ni njiapanda ya Kipalang'anda unaingia ndani.
 
Hongera kilaza kwa kuanza mambo ya ujasiriamali katika kiwango hicho ukiwa bado chuo,ni changamoto kwa kizazi cha sasa.Keep it up....
 
market nategemea kuuza kisutu market na kuhuisha potential customers nipo kwenye mchakato wa kuanza mazungumzo na shoprite chains.

mwendo wastani dk 30 or so barabara sio tarmac so it varies ni njiapanda ya Kipalang'anda unaingia ndani.

mkuu ....nashukuru kwa kunifahamisha .......nimeshayafahamu sasa .... umbo lake lipo kama kibuyu...! isn't it...?

i like your marketing strategies ....kuna big supermarket chain kutoka kenya Nakumat Supermarket wanaingia rasmi tanzania na wanafungua rasmi the first branch in moshi ... nadhani hii pia ni potential target market ..... i am sure uki capitalize kwenye kupata local market at the end unaweza kupata export market .... ninashauri sana kwamba lengo kuu liwe ni export au unasemaje...?

naomba unijulishe pia je kilimo cha zao hili la mung'unya (butternut) kinahitaji irrigation au ni mvua za misimu ... ninashamba hekari 18 lenye tittle lipo moshi three kilometers from dar main road ... the level of water table is good..... unaweza kunishauri nifanye nini... kilimo au mifugo ...currently ninalima mahindi ... je zao hili linaweza kufaa

i wish you all the best
 
ahsante, ila changamoto katika nchi zetu kilimo kinachanganywa na siasa, na viongozi wetu hawako serious na kilimo.

mfano bei na upatikanaji wa mbegu bora ni ishu.
tafiti haziwi communicated kwa wakulima
miundombinu ya kibiashara mibovu
maeneo makubwa ya ardhi yamehodhiwa na vigogo pasi kuyafanyia uzalishaji.

pembejeo duni,zilizo bora bei juu (zingine zinapigwa kutu pale mwenge)
mabadiliko ya tabia nchi n.k lakini katikati ya hayo yote TUPAMBANE VIJANA KWA UKOMBOZI WA UCHUMI!!!!
 
mkuu ....nashukuru kwa kunifahamisha .......nimeshayafahamu sasa .... umbo lake lipo kama kibuyu...! isn't it...?

i like your marketing strategies ....kuna big supermarket chain kutoka kenya Nakumat Supermarket wanaingia rasmi tanzania na wanafungua rasmi the first branch in moshi ... nadhani hii pia ni potential target market ..... i am sure uki capitalize kwenye kupata local market at the end unaweza kupata export market .... ninashauri sana kwamba lengo kuu liwe ni export au unasemaje...?

naomba unijulishe pia je kilimo cha zao hili la mung'unya (butternut) kinahitaji irrigation au ni mvua za misimu ... ninashamba hekari 18 lenye tittle lipo moshi three kilometers from dar main road ... the level of water table is good..... unaweza kunishauri nifanye nini... kilimo au mifugo ...currently ninalima mahindi ... je zao hili linaweza kufaa

i wish you all the best

Yaah, ndio hayo! uko mwepesi sana ndugu. Yes exportation ndio hasa lengo langu,nashukuru mungu shule ipo ukingoni kwani nayo ilikuwa some kind ya mzigo, sasa ninaweza kuwa na muda wa kutosha kufanya shughuli zangu. Oppurtunities za market kwa kilimo ni kubwa na zitazidi kuja lakini je tumejiandaa?

Zao hilo linaweza kustawi vizuri kwa neema za Mungu,ila kama ujuavyo irrigation is the only way to opt ili kupunguza risks.

Yamkini, eneo hilo linaweza kufaa kwa zao hili kwani linapenda maeneo ya ki- tropics .
 
  • Thanks
Reactions: LAT
huko bupu ekari moja inauzwaje? ina vary kuanzia kiasi gani



Bei za huku zinaathiriwa sana na manunuzi yaliyofanyika karibuni(market trends). Kwa mfano bei ilikuwa chini ya 300 000 lkn wakaja jamaa fulani wenye pesa wakanunua eka kibao kwa 350 000, balaa na wanakijiji wengine wakatamani range hiyo.

wanaoharibu bei ni vigogo!
 
Naomba kufahamu hiki kilimo cha butternut kinahitaji matuta au hata kwenye tambarare yaani bila matuta kinafaa?
mkuu ....nashukuru kwa kunifahamisha .......nimeshayafahamu sasa .... umbo lake lipo kama kibuyu...! isn't it...?

i like your marketing strategies ....kuna big supermarket chain kutoka kenya Nakumat Supermarket wanaingia rasmi tanzania na wanafungua rasmi the first branch in moshi ... nadhani hii pia ni potential target market ..... i am sure uki capitalize kwenye kupata local market at the end unaweza kupata export market .... ninashauri sana kwamba lengo kuu liwe ni export au unasemaje...?

naomba unijulishe pia je kilimo cha zao hili la mung'unya (butternut) kinahitaji irrigation au ni mvua za misimu ... ninashamba hekari 18 lenye tittle lipo moshi three kilometers from dar main road ... the level of water table is good..... unaweza kunishauri nifanye nini... kilimo au mifugo ...currently ninalima mahindi ... je zao hili linaweza kufaa

i wish you all the best
 
Ndugu ahsante, Mung'unya linaloitwa butternut squash ni aina ya boga zenye umbo dogo na rangi kama ya machungwa. Yapo familia moja inaitwa "cucurbits" pamoja na matango,tikiti,maboga ya kawaida,n.k. faida zake ni kwamba huzaa sana kuliko boga za kawaida na sehemu inayoliwa ni kubwa (minofu).

Bupu ni kijiji wilayani mkuranga,nice time.
Naomba kufahamu hiki kilimo cha butternut kinahitaji matuta au hata kwenye tambarare yaani bila matuta kinafaa?
 
Back
Top Bottom