kilaza Sammy
Member
- Oct 5, 2010
- 13
- 4
Katika harakati za kujijengea uwezo wa baadae(near future) niliamua kutumia pesa zangu kidogo za bodi ya mkopo (mimi ni mwanafunzi mwaka wa tatu) kufanya kilimo. Nilianza na project tatu tofauti kwanza fish farming -mkenge mkuranga(Upo hatua za awali) pili kilimo cha passion,mahindi,karanga,mung'unya(butternut squash) -bupu mkuranga,na mradi wa tatu ni majaribio kilimo cha mahindi kwa kutumia mbegu hybrid-mwanzomgumu kisarawe.
Mafanikio; mradi wa bupu umeenda vizuri sana na nategemea good yields soon
Changamoto; mradi wa mwanzomgumu- mwaka huu kimetokea kitu cha ajabu sana mashamba mengi mahindi ama yamekufa au kudhoofu. Wakulima wanatoa hypothesis kuwa ni athali za mabomu ya Mbagala! Je wataalam wa kilimo mnasemaje?
Mafanikio; mradi wa bupu umeenda vizuri sana na nategemea good yields soon
Changamoto; mradi wa mwanzomgumu- mwaka huu kimetokea kitu cha ajabu sana mashamba mengi mahindi ama yamekufa au kudhoofu. Wakulima wanatoa hypothesis kuwa ni athali za mabomu ya Mbagala! Je wataalam wa kilimo mnasemaje?