Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 586
- 1,317
Naomba nijue,naona siku hizi ukitaka kuomba kazi za serikali unapitia ajira portal(www.ajiraportal.gov.tz).
Sasa swali langu inakuwaje kwa wale ambao wako uko vijijini au hawana access ya internet wanafanya vipi kupata hzo ajira?Maana hawatoi alternative way ya kutuma maombi zaidi ya kupitia ajiraportal.
Kama kuna alternative tufahamishane
Na hii ajiraportal ukisahau password na kuomba link ya kufanya password reset haikuletei hyo link kwa hyo ni kama inakuwa imekula kwako vile coz hutoweza kujisajili tena kwa mara ya pili ina maana hutoweza kuomba tena ajira za serikali na institution zake, utapiga simu na kuomba msaada kupitia namba zilizowekwa lakin simu hazitopokelewa na zikipokelewa utazungushwa hadi utachoka.
Sasa ni nini lengo la hii ajiraportal kama chngamoto zake hazifanyiwi kazi?maana ukiacha nilizozitaja ila bado ina changamoto nyingi sana kitu kwakweli kinachokera
Sasa swali langu inakuwaje kwa wale ambao wako uko vijijini au hawana access ya internet wanafanya vipi kupata hzo ajira?Maana hawatoi alternative way ya kutuma maombi zaidi ya kupitia ajiraportal.
Kama kuna alternative tufahamishane
Na hii ajiraportal ukisahau password na kuomba link ya kufanya password reset haikuletei hyo link kwa hyo ni kama inakuwa imekula kwako vile coz hutoweza kujisajili tena kwa mara ya pili ina maana hutoweza kuomba tena ajira za serikali na institution zake, utapiga simu na kuomba msaada kupitia namba zilizowekwa lakin simu hazitopokelewa na zikipokelewa utazungushwa hadi utachoka.
Sasa ni nini lengo la hii ajiraportal kama chngamoto zake hazifanyiwi kazi?maana ukiacha nilizozitaja ila bado ina changamoto nyingi sana kitu kwakweli kinachokera