ahsanteHizo sio zako. Bila shaka ni za Mbayuwayu
Wee kweli una akili ya kikukukuku
Siku zote, usipende kufanya mambo yako kisanii, maana hutafanikiwa,
kwa style uliyotumia hata kukusaidia watu wataona ugumu, just be open n direct, maana hata ukipewa hizo link utaandika uwongo Tu kwenye fomu zao.
ushauri wangu, badili heading
Za PhD hamna?