Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa waliokuwa wakisikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa ubunge wake ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Mh. Godbless Lema, wamekamilisha kusikiliza rufaa ya kesi hiyo na kilichobaki ni kusubiri siku ya kusomwa hukumu!
Hayo yamesemwa na jaji mkuu, Bw. Othuman Chande.
Source: Tuongee Magazeti RFA
Hayo yamesemwa na jaji mkuu, Bw. Othuman Chande.
Source: Tuongee Magazeti RFA