CHAN Finals: Live from Ivory Coast

AljuniorTz

JF-Expert Member
Jan 6, 2009
544
17
Mungu ibariki taifa stars leo na ktk mechi zote ili turudi na kombe letu inshaallah
 
Naomba kuuliza
Ni TV gani zinazopatikana masafa ya mbali hasa ulaya zitakazoonyesha hizi maechi
 
Kwa sasa hatuzungumzi tena maandalizi kwani tayari tupo uwanja wa mapambano, let we discuss what should be done now while we are in the front line fighting pitch? Kwani kale kamsemo ng'ombe hanenepi siku ya mnada, kama tulijianda vema, yes we can wadau. Otherwise tutaonyesha vituko huko,
Mungu ibariki Taifa stars
 
Kwa sasa hatuzungumzi tena maandalizi kwani tayari tupo uwanja wa mapambano, let we discuss what should be done now while we are in the front line fighting pitch? Kwani kale kamsemo ng'ombe hanenepi siku ya mnada, kama tulijianda vema, yes we can wadau. Otherwise tutaonyesha vituko huko,
Mungu ibariki Taifa stars
.....A, soka ni mchezo wa makosa...siku zote matokeo huwa yanashangaza sana hasa pale zile timu zenye majina zinapochza na hao underdogs kama Tz. Jambo kubwa inatakiwa wachezaji wetu wajitambue kuwa wamekwenda ivory coast kufanya nini? Pili watambue opportunity zinazoweza kujitokeza kwa wao kufanya vizuri. Sasa hivi hata mawakala wanaotafuta wachezaji wa kulipwa wamekuwa na mtazamo wa kwenda mbali zaidi mpaka kwenye nchi zisizo na majina kwani wanaamini kuna talents.

Hofu yangu wachezaji wetu wana tabia ya ulimbukeni na hasa pale wanapojiona wanaelekea kuidhibiti timu yenye jina. Hapa nazungumzia kale katabia ka akina Mrisho Ngasa, Jerry Tegete na akina Mgosi kucheza na majukwaa. Laiti Taifa stars wote wangekuwa na spirit aliyonayo Shedrack Nsajigwa mambo yatakuwa mazuri...But let's wait & see ndio nafasi ya kujifunza hiyo....
 
Tunapokua Cod vor, tusahau mambo ya Jangwani na Msimbazi, tukisharudi tz then tuendelezde unazi wetu, sasa si muda muafaka wa kujadili timu inachesha msimbazi wangapi au Jangwani wangapi, if possible to gain the match through Msimbazi 100% no problem , after mashindano ndo tuanze piga domo zetu, mpo wadau?
 
Wadau ni channel gani tutaona hiyo mechi ya ufunguzi na mechi yetu na wamandingo?
kuna online channel yeyote?
 
sasa hivi ni sherehe za ufunguzi,kuna tv moja ya inatwa RTS1 ndo inaonesha live.ila inabidi net yako iwe fast kama kiaina kama ya kwangu hapo!kama unatatizo jinsi ya kuipata uliza faster
 
Eenhee tunaipatate RTS 1,
Natumia iBurst

sasa hivi ni sherehe za ufunguzi,kuna tv moja ya inatwa RTS1 ndo inaonesha live.ila inabidi net yako iwe fast kama kiaina kama ya kwangu hapo!kama unatatizo jinsi ya kuipata uliza faster
 
Sawa sawa naona mtanange unaendelea wa kwetu ni baada ya huu.
All the best T.S
 
Ingawa kifrenchi hakipandi, lakini nimemsikia mtangazaji akitutajataja kwa jamu...naimani chaneli ndo yenyewe hii.....Na tusubiri..
 
mkuu Kilakshari gonga hiyo link iliyotolewa na mkuu Mwazange then chagua channel za senegal utaipata RTS 1 bila shaka
 
Back
Top Bottom