Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
offcourse hata mimi nina huo mpangoAnataka kuoa mke wa pili
offcourse hata mimi nina huo mpangoAnataka kuoa mke wa pili
Takbiir!
Hapo umeongea.Itakuwa anataka kuongeza mke huyo, si bure tutasikia mengi.
Vp kuhusu waislam wanao-okoka kila siku na kumuamini YESU KRISTU kua bwana na mwokozi wa maisha yao????mungu amemuongoza kuujua ukweli, na hii ni kazi ya mungu lakini watu wengi hawajui. ALLAH anasema INNA DINA IN NDALLAH AL ISLAM, dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni uislam. ikiwa utabisha unabisha kwa ujinga.
Wanazidi kupotea tu, ngoja ajifunze kuvaa #########@@@@@@@@@xxxxxxxu!watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
waislam wanamkubali yesu kama na mtume na nabii aliyetumwa kwa wana wa israel, sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya israel mathayo 15;24.Vp kuhusu waislam wanao-okoka kila siku na kumuamini YESU KRISTU kua bwana na mwokozi wa maisha yao????
"Anayetaka (sterehe ya dunia hii) ipitayo upesi (na hana haja ya ahera), basi tutampa upesi upesi humo (lakini) tunayoyataka (tena ) kwa yule tumtakaye: kisha tumemfanyia Jehanamu, ataingia humu, hali ya kuwa ni mwenye kudharauliwa na kufukuzwa"Kapotea ataukumbuka uamuzi wake na kuujutia.