Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?