Chama kisicho na matabaka ya udini na ukabila ni ccm tatizo ni ufisadi.

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?

Gamba at work
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
MBONA KANISA LIKICHOMWA HUSEMI?au umefurahiya?najua unachojaribu kukisema
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
Una akili ndogo sana wewe kama kuku,wewe unafikiri huyo ****** madudu yake si huyajui kwa sababu ana dola,kina maige na magamba wenzake ni rahisi kujulikana kwa upuuzi wao.si alisema ccm watajivua gamba,kama ni kiongozi mzuri toka amesema hivyo ni muda gani sasa,kuhusu kutugawa kwa falsafa zenu za dini na ukabila hapa mmechelewa kwa sababu watanzania wa sasa si wale wa miaka ya 80,na mwanzoni mwa 90,watu wamebadilika sana sasa hivi.kachukue mshahara wako kwa nepi kisha mjipange upya
 
Kaka mie chadema damu tena kuliko wewe lakini kuna vitu lazima tujifunze, sio kila kilichoko CCM ni kibaya, kama ni hivyo basi hata akina slaa nao ni wabaya kwa sababu wametoka ccm, Mie sipendi kuona kuna maneno ya kijinga kamma ya shibuda yanayohusu ukabila na pia maneno ya wengine ya kudai chadema ni chama cha kanisa. mie ni mkatoliki na nina hasira kubwa kwa yaliyotokea zanzibar, ukifuata topics zangu utaona, mie binafsi sipendi huu muungano na watu ambao hawana akili timamu kila kukicha kelele. lakini ili chadema kiwe chama bora inabidi watumie mbinu za nyerere za kutoupa ukabila na udini nafasi ya kuzungumziwa ndani ya chama na hii ndio silaha kubwa itakayoifanya chadema ichukue nchi 2015
 
Una akili ndogo sana wewe kama kuku,wewe unafikiri huyo ****** madudu yake si huyajui kwa sababu ana dola,kina maige na magamba wenzake ni rahisi kujulikana kwa upuuzi wao.si alisema ccm watajivua gamba,kama ni kiongozi mzuri toka amesema hivyo ni muda gani sasa,kuhusu kutugawa kwa falsafa zenu za dini na ukabila hapa mmechelewa kwa sababu watanzania wa sasa si wale wa miaka ya 80,na mwanzoni mwa 90,watu wamebadilika sana sasa hivi.kachukue mshahara wako kwa nepi kisha mjipange upya
Kaka mie chadema damu tena kuliko wewe lakini kuna vitu lazima tujifunze, sio kila kilichoko CCM ni kibaya, kama ni hivyo basi hata akina slaa nao ni wabaya kwa sababu wametoka ccm, Mie sipendi kuona kuna maneno ya kijinga kamma ya shibuda yanayohusu ukabila na pia maneno ya wengine ya kudai chadema ni chama cha kanisa. mie ni mkatoliki na nina hasira kubwa kwa yaliyotokea zanzibar, ukifuata topics zangu utaona, mie binafsi sipendi huu muungano na watu ambao hawana akili timamu kila kukicha kelele. lakini ili chadema kiwe chama bora inabidi watumie mbinu za nyerere za kutoupa ukabila na udini nafasi ya kuzungumziwa ndani ya chama na hii ndio silaha kubwa itakayoifanya chadema ichukue nchi 2015
 
MBONA KANISA LIKICHOMWA HUSEMI?au umefurahiya?najua unachojaribu kukisema

mimi mkatoliki na nina hasira kuliko wewe, just read my topics utajua ni jinsi gani nimewachukia hawa wala urojo
 
Mtoa Mada ccm haifurahii mafanikio ya cdm! Tumia akili yako kupima na kuona huo ukabila na udini unaoeleza na ccm,
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA= udini+ukabila+ukanda+ubaguzi+utapeli+uongo+usanii+ufuska+usaliti wa nchi.
 
Kaka mie chadema damu tena kuliko wewe lakini kuna vitu lazima tujifunze, sio kila kilichoko CCM ni kibaya, kama ni hivyo basi hata akina slaa nao ni wabaya kwa sababu wametoka ccm, Mie sipendi kuona kuna maneno ya kijinga kamma ya shibuda yanayohusu ukabila na pia maneno ya wengine ya kudai chadema ni chama cha kanisa. mie ni mkatoliki na nina hasira kubwa kwa yaliyotokea zanzibar, ukifuata topics zangu utaona, mie binafsi sipendi huu muungano na watu ambao hawana akili timamu kila kukicha kelele. lakini ili chadema kiwe chama bora inabidi watumie mbinu za nyerere za kutoupa ukabila na udini nafasi ya kuzungumziwa ndani ya chama na hii ndio silaha kubwa itakayoifanya chadema ichukue nchi 2015
Ni sahihi Mkuu unayoyasema watu wengi humu hawapendi kuelewza ukweli! Ingawa nami sijathibitisha Udini wa Chadema na Ukabila ila mengi sana yamesemwa kuhusu hayo mambo mawili hivi kila siku yaendelee kulalamikiwa hayo hayo? Tupende tusipende taswira ya Chadema inaharibika kutokana na matatizo hayo madogo madogo yanayojitokeza na mtu akiandika tu anashambuliwa humu utafikiri mwizi ila ukweli unauma!
 
Kabla mtu hujaanza kusoma post, heading ime ji contradict.

Huwezi kuwa na ufisadi bila matabaka. Ni nature ya ufisadi kujenga matabaka. Nani atapewa dili kubwa na nani ataachwa.
Chenge anapokaa kupanga kwiba hela za umma kuzipeleka Jersey Island kifisadi ni lazina akae na tabaka la wabenzi wenzake. Hawezi kuanika habari hizi kwenye gazeti la Uhuru kila mwanachama aone.

Ufisadi na matabaka ni pande mbili za sarafu moja.

Divide and rule style.

Jipange upya.
 
ni chama pekee duniani ambacho hakiwezi kuchukua maamuzi magumu ----
a) kuwafukuza wanachana mafisadi (wanaoiba mali za umma waziwazi)
b) chama kuchukua hatamu --- ( kuisimamia serikali yake)
c) sera za kulindana, kusaidiana , (huyu mtoto wa mwasisi wa ccm basi tumpe cheo...... mfano ninao.....
d) kichaka cha wafanyabiashara --- ukitaka biashara zako ziwe safi jiunge na CCM... mifano niyano mingi tu..

HAYA MAMBO WANANCHI WENYE NCHI YAO WAMEYASHITUKIA..............KAZI KWENU 2015
 
tatizo kubwa nliloliona humu JF kwa wana CDM ni kwamba hawakubali kuaccept challanges wanadhani km ni udhaifu kumbe ni njia ya kujiimarisha.ukiwaambia kitu wanakuja juu woote tena wengine bila hata hoja.CDM inataka kumanage tanzania ila kwa what i believe good manager ni yule anayeaccept challanges km steps to success.ushauri wa ndugu yetu ni wakuufanyia kazi.hivi mnajua CUF imepoteza umaarufu kwa kashfa km hizi za udini?mnajua CDM haina mashabiki ukanda wa kusini wanaamini ni chama cha watu wa kaskazni.take this men...
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?


UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo
 
ni chama pekee duniani ambacho hakiwezi kuchukua maamuzi magumu ----
a) kuwafukuza wanachana mafisadi (wanaoiba mali za umma waziwazi)
b) chama kuchukua hatamu --- ( kuisimamia serikali yake)
c) sera za kulindana, kusaidiana , (huyu mtoto wa mwasisi wa ccm basi tumpe cheo...... mfano ninao.....
d) kichaka cha wafanyabiashara --- ukitaka biashara zako ziwe safi jiunge na CCM... mifano niyano mingi tu..

HAYA MAMBO WANANCHI WENYE NCHI YAO WAMEYASHITUKIA..............KAZI KWENU 2015



Ilike this. Good analysis ELNINO is obvious every one can see it.
 
Back
Top Bottom