Usipokuwa mhusika ni ngumu sana kuujua ukweli.
Ni kweli madaktari wanapokea sms na calls nyingi za vitisho.
Nadhani ni sahihi tu kutafuta njia mbadala za kulinda usalama wao.
Haya ni ya ngoswe.....
Washenzi hawa wamejitakia wenyewe na hii huenda ni ghiriba yao tu - na waende huko umoja wa mataifa