Chama cha Madaktari Tz chawasilisha maombi UN ya ulinzi kwa viongozi wake

hivi wewe una umri gani?...mbona unaropoka matusi kwa watu usiowafahamu..ilihali ukibanwa hernia ndio utakaowakimbilia?...hao unaowaita paka ndio watakaomzalisha mkeo, ndio watakaomuongezea njia na kumshona mkeo..ndio watakaokutia kidole kuangalia kama tezi lako ndilo limezuia mkojo..
we endeleza matusi!!
Tuwakimbilie wakati wamegoma? wewe unaakili kweli? Hao ni paka tu hawana maana yeyote.
 
Msimamo uko pale pale, rudi kazini au acha kazi. Hizi bla bla tumezichoka sasa. Mkitaka pelekeni malalamiko yenu hata mbinguni lakini msimamo wetu uko pale pale. Paka nyie

majebere, kila kitu kina kiasi. Maneno maneno mengi ya nini unaweza kuzungumza hata yasiyostahili kuzungumzwa. Si mmeshaamua and its final....basi tutulie tukange yanayokuja. Kila kitu kina wakati...wakati mwingine utakuja na mambo mengine kabisa. Who knows?
 
Last edited by a moderator:
na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito. Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza hakuna mgomo lakini sio kweli. Leo tuna madoctor wawili mmoja yuko theater mwingine labour hatuna doctor wa kuwapima wengne hawajaja tunafanya mawasiliano kuwaomba waje kuwahudumia. Atakayeweza kuendelea kusubiri asubiri kama huwezi urudi jumatatu maana madoctor hawana uhakika wa kuja. Source mi mwenyewe nilikuwepo.
hivi mwakiembe alifanya nini vile kufanyiwa vile? Unaweza kunikumbusha? ahaa aligoma kukubaliana na ufisadi na udhalimu. migomo sio mizuri kwakweli kwa taifa na kwa usalama wa mtu mmoja mmoja. nakubaliana na wewew mkuu.
 
Na mimi nilijua barua ina jambo jipya kumbe ni yaleyale
achen uzush nyie me nmemuelewa vzur aliepost hii barua, kwanza kabisa alitaka kuondoa utata uliopo kwamba dola inahusika au la kwa kutuambia namna ulimboka alivomtambua mtesi wake SHETANI MSANGI hivo sisi wadau tushajionea wenyewe dola apa haikwep whether walimtuma huyu SHETAN or not 2nachojua ni mtu wao ndo kamtesa dokta wetu, hivo NI DOLA ndo wahusika! pili alitaka kutuonesha kua MAT haijakaa kmya tu kuna jambo imefanya ikiwa ni pamoja na kuviarifu vyombo vya kimataifa udhalimu huu wa serikali DHAIFU inayoijidai inaleta aman na utivu nchin.
 
wakiacha kazi ndo tutawaelewa!

Waache mara ngapi?? si walishaacha ila nyie ndio mnapiga kelele tu hapa?
Kwa namna ninavyoelewa madaktari walishaacha kazi siku nyingi tu. Subirini wananchi watakapoanza kuandamana kwenda magogoni kudai matibabu ndio mtajua tamu yake!
Nani aliwambia kazi ni udaktari tu??
 
Nuona mwisho mbaya na wa kutisha wa JK na utawala wake dhalimu.Ndiyo maana Mchungaji Mtikila alimuita huyu JK gaidi, nilifikiri ni uropokaji tu wa Mtikila lakini sasa ukweli umedhihirika huyu mtu ni gaidi.
 
Sasa walalahoi ambao wakienda muhimbili wanateswa na kunyanyaswa na manesi wakati mwingine mgonjwa anakaa na maumivu anasubiri huduma hapati wakati hao manesi wamekaa tu na kusogoa je na sisi tuombe UN walete watu wa kututetea tukiwa mawodini ili tusitukanwe na kuandikiwa dawa wakati mwingine ambazo sizo?
 
This is sad! Mate tell you what? I trully respect your right to hold forth your view - eh, please respect the right of others, "dismal analytical MIND" notwithstanding!

May I remind you politely that you can fool 'em MARINES butnot a level headed TANZANIANS - Cheers.

ofkoz ur not being analytical so try to be Dude

Either you dont know the whole concept for the Strike that's one thing "you may argue whatever way on favor most likely but it meant to save the oppressed Tanzanians against the barbaric regime (are you part of the regime?)
Improvement of the health sectors will benefit you and all Tanzanians including those in power...

And this is very possible through accountability....even by killing the corrupts you......
 
Back
Top Bottom