Peaky blinders
JF-Expert Member
- May 8, 2023
- 3,363
- 6,195
Shishi food ni Kwa vile ni mnyamwezi. Tabora wana mrenda flani unakaushwa na kusagwa unakuwa unga. Akitaka kupika wa nachemsha maji na kuweka unga (kama majani ya chai) wanakoroga tayari.Sahihi Mkuu, hoteli nyingi zimetekwa na vyakula vya kizungu sana. Pia baadhi ya migahawa ya Kisasa hawapiki mlenda kabisa hadi iwe ni special order tena baada ya kuongea na Meneja 🙌
Ila nimekula mara tatu migahawa ya Shishi Food nimekuta miongoni mwa mboga zao Mlenda ni moja wapo.
Ila kwa Shishi anapika wa bamia. Hiyo kitu ni noma sana na samaki wa kukaanga au nyama choma.