Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
duh, mkuu nashukuru. Pokea kitu Vulindela cha Brenda Fasi...
Dah kitu cha hayati lol
RIP Madame Brenda
duh, mkuu nashukuru. Pokea kitu Vulindela cha Brenda Fasi...
Tulikuwa tunaenda kupanda ile meli ya kwenda kigamboni. Mimba ya Kongosho ina mahaba na maji ya chumvi, hatuna jinsi.Naona mshamaliza shughuli teh Kongosho hoii na si kawaida yake inaonekana jana ulitoka kivingine musee...sasa jioni ile mlikuwa mnaenda feri kufanyaje?
Swahiba habari ya uzima wako? Umenisusaje? Hebu pokea kitu Shauri yako (waimbaji siwajui bana)
Kama kawa niko zangu njia panda namngoja mugeni wa OridonyoSwaiba mie mzima on my way to Oldonyo lol! nakutupia wimbo wowote wa Baikoko hahaha!
Bagah nampa kitu Ugali wa Masanja MkangamizajiShemu wangu BAGAH pokea kitu cha shangazi by mpoki,na shem wangu Nicas Mtei pokea kitu cha mgambo by Juma Nature.
hahahaa kwenye wimbo huo kuna kipengele cha kuitwa then unaitikia JANA NA LEO napapenda sana hapo...
Kama kawa niko zangu njia panda namngoja mugeni wa Oridonyo
BAGAH sweetlady Smiling Saint Nicas Mtei MUSSOLIN Cantalisia EMT Kaunga Kipipi BADILI TABIA Judgement beibe nasty charminglady Madame B Yummy
Asprin YNNAH Rejao dubu Kongosho FirstLady1 Mamndenyi The secretary Bishanga
Pokeeni wimbo Mambo Vipi wa Mchizi Mox
hata me napapenda kwel make pananikumbusha attendance ya primary cku tcha akisahau kuita majina akaita kesho yake anatwambia aliyekuwepo jana aitike JANA NA LEO. . . .
We nakuachia huu KASUKU
Guta ndo komesha ya wanaosafiri na vitu utadhani wanahama...yan hadi maji litre tano..mihogo...wali...nyama ya mchuzi...Mfuko wa rambo na sandarusi lolHehehe!shem ulishanunua boda boda au bado uko na lile guta!
Guta ndo komesha ya wanaosafiri na vitu utadhani wanahama...yan hadi maji litre tano..mihogo...wali...nyama ya mchuzi...Mfuko wa rambo na sandarusi lol
hadi miwa
Asante. na wewe nakupa Haleluya Kuu. umeibwa na kwaya kuu mbezi beach.
hakuna harusi BISHANGA hiyo ni janja yake ya kutovua gamba
Hahahaha!shem umeuwaaaa lol!mie cna mizigo nipokee na baskel tu itatosha hahaha!