Elections 2010 Chagua ccm; tuna ushahidi imeleta maendeleo

MAWANI

Member
May 12, 2009
71
1
Tanzania tumeendelea. Wakati Kikwete anachukua nchi, shule za sekondari zilikuwa chache, kwa sasa ni nyingi... kila kata tanzania ina shule ya Sekondari. Hizo shule zisingekuwepo, hawa wangekuwa nje ya shule.

Picture 024.jpg
Pichani wanafunzi katika moja ya shule za kata wakipata matirio darasani. Haya ni maendeleo makubwa; mwasemaje?:lol:
 
Tanzania tumeendelea. Wakati Kikwete anachukua nchi, shule za sekondari zilikuwa chache, kwa sasa ni nyingi... kila kata tanzania ina shule ya Sekondari. Hizo shule zisingekuwepo, hawa wangekuwa nje ya shule.

View attachment 13633
Pichani wanafunzi katika moja ya shule za kata wakipata matirio darasani. Haya ni maendeleo makubwa; mwasemaje?:lol:

Mheshimiwa hii umeleta si mahala pake humu hakuna atakayeiona hata ikionekana basi wadhungu wanasema tuna ignore kwa maana nyingine tunaipotezea. Jaribu kuileta kinyume chake uone watu watakavyochangamka. Hii ndo JF bwana kama huijui.
 
Mheshimiwa hii umeleta si mahala pake humu hakuna atakayeiona hata ikionekana basi wadhungu wanasema tuna ignore kwa maana nyingine tunaipotezea. Jaribu kuileta kinyume chake uone watu watakavyochangamka. Hii ndo JF bwana kama huijui.

:lol:
 
Poa. Ila wakati shule zinajengwa hela zilitoka wapi? Ina maana Dr S! hapana. I mean upinzani ukikamia kitu CCM wanatekeleza maelekezo yao ili waonekane kushinda? Kila mtu ana akili zake na mwenyewe mkulu aliwaasa watu wawe kama mbayuwayu ili wanapotumia akili za wengine wachanganye na za kwao siyo? HATUDANGANYIKI :confused2:
 
Back
Top Bottom