MAWANI
Member
- May 12, 2009
- 71
- 1
Tanzania tumeendelea. Wakati Kikwete anachukua nchi, shule za sekondari zilikuwa chache, kwa sasa ni nyingi... kila kata tanzania ina shule ya Sekondari. Hizo shule zisingekuwepo, hawa wangekuwa nje ya shule.
Pichani wanafunzi katika moja ya shule za kata wakipata matirio darasani. Haya ni maendeleo makubwa; mwasemaje?:lol:
Pichani wanafunzi katika moja ya shule za kata wakipata matirio darasani. Haya ni maendeleo makubwa; mwasemaje?:lol: