Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Wana JF nina wazo la kuanzisha Restaurant itakayouza vyakula vya Kichaga tu kama mtori,kiumbo,kishimba,machalari na kadhalika. Je hii biashara italipa kwa miji ya Dar es Salaam na Arusha? Pia kama kuna mtu anajua vyakula vingine vya kichaga ani-pm au avitaje hapa ili niviweke kwenye menu. Asanteni