Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
CDM msipuuze amri halali ya dola, serikali kwa kutumia wataalamu wake wameona ardhi haifai kwa mahindi, nyie mnatumia siasa pahala pasipostahili
Kwani walianza kulima hayo mahindi baada ya kuja huyo mkuu wa mkoa au ni desturi yao kulima mahindi kwa miaka mingi? Hao wataalamu hawakuwepo huko nyuma mahindi yakilimwa? Wenyeji ndio wanajua wanachokitaka, mkuu wa mkoa ni nani hadi si-impose matakwa yake ya kilevi kwao?