Habari zilizotufikia hivi punde chadema yapeta Karatu... more details to come mitaa ya karatu ya zizima kwa vifijo. Kura za urais Dr slaa yupo juuu sana.
Mmh Kasheshe si JK alikuwa huko juzi tu mkasema mara kafunika, kafuta nyayo za slaa, chadema kwa her!
Mungu mkubwa
JK OUT ikulu. Slaa huyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo ikulu
Ha ha zile picha za kwa Michuzi kuwa CCM yafunika karatu na watu kadhaa kurudisha fomu zilikuwa kanyanga eh? Au zingine zilikuwa photoshop nini?
Mmh Kasheshe si JK alikuwa huko juzi tu mkasema mara kafunika, kafuta nyayo za slaa, chadema kwa her!
URAIS, UBUNGE na pia viti vyote 14 vya UDIWANI vimekwenda CHADEMA....