CHADEMA yatambua mamlaka ya umma ni nini

Hapo mkuu unaonyesha JF ni ya chadema kitu ambacho sikiamini na umeenda mbele zaidi umeainisha wala ubwabwa wa bakwata (waislam) ni maadui wako. Angali sana unayoyaandika yanaweza yakawa na implictaions kwenye jamii.

Mkuu, ujue awa ndio wanaomualibia Dr.Slaa na Chadema mbele ya jamii ya kiislam
 
CDM ni wapambambanaji wasio na mwelekeo. Leo wanaonekana katika Luninga wanafurahia mazungumzo na Rais wakiwa Magogoni, kesho wanatamka hawapo tayari kushirikiana na JK wakiwa Kinondoni. Waache wajimalize kwa kutumia neno umma!!!
 
@Tbag Hatari @ ritz @na wachangiaji wa hii thread
Tutofatiane kwa hoja sio vioja na personal attack
 
Huu ni ukweli usiopingika.
hakunaaga kama dafaiza fox na ritz kwa ukweliii mtupu uliosimama hakunaaga,eh hakunaaga kama dafaiza na ritz hakunaaga,nisipokuona dafaiza na ritz hapa jf sina raha mwenzenu hakunaaga!
 
Mkuu, ujue awa ndio wanaomualibia Dr.Slaa na Chadema mbele ya jamii ya kiislam
ritz umenena kweli tupu,sasa namuomba mkuu mohd shossi malenga mkuu wa jf kitukuu cha siti bint saad ampe mashairi huyo anaekashifu islam na bakwata na ajue anaizika cdm kwa kuijengea chuki kwa waislam,kaka shossi tulikumiss sana hapa jamvini hebu tupe mistari kidogo ya kimalenga.
 
Wanabodi..Mara kwa mara wanademokrasia, au wanaojifanya kuwa wanademokrasia hupenda kukumbusha kuwa umma ndio wenye mamlaka ya mwisho katika utawala..Ingiwa usemi huu una maana zaidi katika tawala za kidemokrasia.Suala la umma kuwa na mamlaka halitegemei mitazamo ya kisiasa bali ni ukweli usiobishaniwa, hakuna utawala unaoweza kudumu ukikataliwa na umma..Kauli mbiu ya Chadema kuwa wana nguvu umma, jana Naibu Katibu Mkuu, John Mnyika, kasema.."Chadema hatupo tayari kufanya maandamano tena kwani si suluhusho la matatizo ya watanzania"Ni kweli alichosema Mnyika huwezi kuwa na Wabunge 23 ukasema una nguvu ya umma..Kiitwacho nguvu ya umma, sio kingine isipokuwa mtazamo na muelekeo wa pamoja wa umma.Mtazamo huo unaweza kuwa wa muda mrefu au mfupi, uliopatikana kwa amani au kwa vita kwa uwazi au kwa ghiliba..Mifano tumeona Tunisia, Syria, Misri, Yemeni, Libya. Hakuna chama siasa kilichoongoza nguvu ya umma.Siku hizi kuna kawaida ya kufanya migomo, maandamano, na mashindikizo kwa madai ya kutumia nguvu ya umma.Hiyo sio nguvu umma bali ni nguvu ya kikundi kinachojaribu kutikisa nguvu ya umma iliyopo madarakani
Mkuu, ulitaka kusema nini hasa katika haya maelezo yako yanayokanganya. Unazungumzia nguvu ya umma au mamalaka ya umma? Tafadhali fafanua.
 
Mkuu, ulitaka kusema nini hasa katika haya maelezo yako yanayokanganya. Unazungumzia nguvu ya umma au mamalaka ya umma? Tafadhali fafanua.

Mkuu, kauli mbiu ya Chadema ni nguvu ya umma..

Huwezi kusema una nguvu ya umma wakati una wabunge 23..

Nadhani umenipata mkuu
 
Wanabodi..

Mara kwa mara wanademokrasia, au wanaojifanya kuwa wanademokrasia hupenda kukumbusha kuwa umma ndio wenye mamlaka ya mwisho katika utawala..

Ingiwa usemi huu una maana zaidi katika tawala za kidemokrasia.

Suala la umma kuwa na mamlaka halitegemei mitazamo ya kisiasa bali ni ukweli usiobishaniwa, hakuna utawala unaoweza kudumu ukikataliwa na umma..

Kauli mbiu ya Chadema kuwa wana nguvu umma, jana Naibu Katibu Mkuu, John Mnyika, kasema..

"Chadema hatupo tayari kufanya maandamano tena kwani si suluhusho la matatizo ya watanzania"

Ni kweli alichosema Mnyika huwezi kuwa na Wabunge 23 ukasema una nguvu ya umma..

Kiitwacho nguvu ya umma, sio kingine isipokuwa mtazamo na muelekeo wa pamoja wa umma.

Mtazamo huo unaweza kuwa wa muda mrefu au mfupi, uliopatikana kwa amani au kwa vita kwa uwazi au kwa ghiliba..

Mifano tumeona Tunisia, Syria, Misri, Yemeni, Libya. Hakuna chama siasa kilichoongoza nguvu ya umma.

Siku hizi kuna kawaida ya kufanya migomo, maandamano, na mashindikizo kwa madai ya kutumia nguvu ya umma.

Hiyo sio nguvu umma bali ni nguvu ya kikundi kinachojaribu kutikisa nguvu ya umma iliyopo madarakani

Haya ni maoni ya kada mahiri kabisa ktk CCM!
 
Well, si kila anayeipinga ccm lazima awe cdm, wengine hatuna vyama! Tuendelee kujadili.
 
Ritz na FaizaFoxy nafikiri akili zenu ni sawa na inawezekana katika serikali hii nyie ni wana wafalme au mko humu katika kupinga kila kitu sioni kama mnachangia katika kulisaidia watanzania. Sana sana mko katika kupinga kila kitu hata siku moja hamleti hoja inayosaidia jamii zaidi ya kulinda. Jaribuni kuwa pande zote hata kama babaako, mamako au familia yako nzima wako kwenye serikali watetee na wanyonge. Fikiria kama ungekuwa ni wewe hata mlo wa siku kuipata shida ungekuwaje. msitetee tu kila jambo. Yana mwisho sijui hapo badae mambo yakibadilika mtasimama upande gani.
 
Ritz na FaizaFoxy nafikiri akili zenu ni sawa na inawezekana katika serikali hii nyie ni wana wafalme au mko humu katika kupinga kila kitu sioni kama mnachangia katika kulisaidia watanzania. Sana sana mko katika kupinga kila kitu hata siku moja hamleti hoja inayosaidia jamii zaidi ya kulinda. Jaribuni kuwa pande zote hata kama babaako, mamako au familia yako nzima wako kwenye serikali watetee na wanyonge. Fikiria kama ungekuwa ni wewe hata mlo wa siku kuipata shida ungekuwaje. msitetee tu kila jambo. Yana mwisho sijui hapo badae mambo yakibadilika mtasimama upande gani.

Umeshindwa kujibu hoja unamuingilia maisha ya Ritz na FF. Ikiwa hoja umeshindwa haya yetu utayaweza? Fikiri.
 
Wanabodi..

Mara kwa mara wanademokrasia, au wanaojifanya kuwa wanademokrasia hupenda kukumbusha kuwa umma ndio wenye mamlaka ya mwisho katika utawala..

Ingiwa usemi huu una maana zaidi katika tawala za kidemokrasia.

Suala la umma kuwa na mamlaka halitegemei mitazamo ya kisiasa bali ni ukweli usiobishaniwa, hakuna utawala unaoweza kudumu ukikataliwa na umma..

Kauli mbiu ya Chadema kuwa wana nguvu umma, jana Naibu Katibu Mkuu, John Mnyika, kasema..

"Chadema hatupo tayari kufanya maandamano tena kwani si suluhusho la matatizo ya watanzania"

Ni kweli alichosema Mnyika huwezi kuwa na Wabunge 23 ukasema una nguvu ya umma..

Kiitwacho nguvu ya umma, sio kingine isipokuwa mtazamo na muelekeo wa pamoja wa umma.

Mtazamo huo unaweza kuwa wa muda mrefu au mfupi, uliopatikana kwa amani au kwa vita kwa uwazi au kwa ghiliba..

Mifano tumeona Tunisia, Syria, Misri, Yemeni, Libya. Hakuna chama siasa kilichoongoza nguvu ya umma.

Siku hizi kuna kawaida ya kufanya migomo, maandamano, na mashindikizo kwa madai ya kutumia nguvu ya umma.

Hiyo sio nguvu umma bali ni nguvu ya kikundi kinachojaribu kutikisa nguvu ya umma iliyopo madarakani

Pumbafuuuuuuuuuuu!Jinga kabisa. Lione,kichwa kama Chichiem!!!
 
Kwamba Chadema hawana nguvu ya Umma tuifikiriyo!

Inaonekana kuna mijitu humu ndani hata haijui maana ya NGUVU YA UMMA,the PEOPLES' POWER.
  1. Nguvu ya Umma ni Wananchi kwa ujumla wao KUKATAA kutawaliwa kimabavu na SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI kwa kipindi hicho. Kama ilivyo sasa kwa CCM hapa Tanzania.
  2. Nguvu ya Umma lazima iwe na uongozi au chanzo utakaochochea hiyo nguvu, haijalishi ni mtu mmoja,kikundi fulani au Chama cha Siasa ambacho haikubaliani na Serikali iliyoko Madarakani.

Tukumbushane vuguvugu lililoanzia Ulimwengu wa Kiarabu. ALGERIA ndiyo iliyowasha moto wa mageuzi ya Nguvu ya Umma. Kijana tu muuza mboga za majani alianzisha huo moto na ukaenea nchi zote za Kiarabu. Just a single man,was able to turn around the mind set of the people. Nguvu ya Umma ilianzia hapo.

Kule kwa marehemu Ghadaffi ilikuwa ni Baraza Taifa la Mpito, The National Transition Council-NTC, hiki kilikuwa ni kikundi cha watu waliokuwa wakipinga sera za Ghadaffi. Kule Misri ni watu walikusanyika Tahrir Square na wakalianzisha. Tunapozungumza watawala wote hao katika nchi hizo leo ni historia.

Hapa kwetu Tanzania kwa sasa CHADEMA ndiyo chenye mawazo ya kuleta mabadiliko au mageuzi kwa Taifa letu baada ya miaka 50 isiyo na tija. CCM wameng'ang'ania Ikulu ilhali nchi inazidi kudorora KISIASA na KIUCHUMI. Mifano michache tu ni maandamano ya baada ya Uchaguzi Mkuu 2010 katika miji ya Arusha,Mwanza,Mara na Mbeya kwa uchache. Hizo zote ni ishara za Nguvu ya Umma inayofukuta chini kwa chini hapa Tanzania. Na kama hali za Watanzania zitaendelea kuwa mbaya na Serikali kuendelea kuwapuuza Watanzania basi believe me THE PEOPLES POWER MUST TAKE ITS COURSE VERY SOON!!!
 
Back
Top Bottom