CHADEMA yapeta uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji - Babati

Uwanja wa nyumbani huo.
Njooni ugenini tuwaonyeshe. Poor CDM

Nyumbani na ugenini ni wapi? Kwa hiyo kwenu kuchagua CCM ndio kuwa nyumbani! Enyi mnaodanganyika na CCM bora hata mngewapa hizo kula zenu hao CUF wanatembeza midomo
 
Nyumbani na ugenini ni wapi? Kwa hiyo kwenu kuchagua CCM ndio kuwa nyumbani! Enyi mnaodanganyika na CCM bora hata mngewapa hizo kula zenu hao CUF wanatembeza midomo
Tusubiri uchaguzi wa serikali za mitaa. CCM ni chama cha ushindi. Ukiwa ndani ya CCM upo kwenye winning side.
 
Omutwale nimekusoma kyoma,hata mm hiyo kitu inanipain lakini endelea kuwakamulia sumu hao wanaotuangusha na ipo siku the magambas will be swallowed..never give up!
 
Huo ni mwanzo tu, mwaka 214 uchaguzi wa serikali za mitaa njooni Mbulu, ndio wanaCCM watajua kuwa Wairaqw si wabagamoyo.
CCM hawana lao katika majimbo ya mbulu, Hanang na Babati kwa sehemu, katika majimbo ya Babati kuna waswahili bado.
 
Historia ya upinzani ilianzia Mbulu,tangu enzi za Nyerere!ukibahatika sikiliza hotuba zake!hawezi sahau Mtu anaitwa Chief Sarwat!thus CDM kushinda huku kawaida tu!cha msingi sasa nikuingia mpaka kwa ****** bagamoyo na mikoa yote ya Pwani ya bahari ya hindi wanakojidai hawa wezi wa mali za wa tz!
 
Jana tarehe 23/10/2011 katika chaguzi zilizofanyika katika vijiji vitatu vya Bermi, Bonga na Endabeg, CHADEMA wamenyanyuka kidedea. Katika Vjiji vyote vitatu wagombea wa CHADEMA wamechaguliwa katika nafasi wa ueneykiti. Uchaguzi huo ulifanyika katika vijiji vilivyotajwa hapo juu, vijiji ambavyo vipo katika wilaya ya Babati - Mkoa wa Manyara.Hongera CHADEMA

Mwendo mdundo,mpaka kieleweke.....well done CDM.
 
Back
Top Bottom