Jana tarehe 23/10/2011 katika chaguzi zilizofanyika katika vijiji vitatu vya Bermi, Bonga na Endabeg, CHADEMA wamenyanyuka kidedea. Katika Vjiji vyote vitatu wagombea wa CHADEMA wamechaguliwa katika nafasi wa ueneykiti. Uchaguzi huo ulifanyika katika vijiji vilivyotajwa hapo juu, vijiji ambavyo vipo katika wilaya ya Babati - Mkoa wa Manyara.Hongera CHADEMA